Sheikh Mkuu Dsm aibua utata Freemason

Sheikh Mkuu Dsm aibua utata Freemason

Wana nini kwani wakati wao ndio masheikh wa ukweli
Bakwata iliasisiwa na Nyerere baada ya kuifanyia figisu na kuiua iliokuwa jumuia ya waislamu afrika mashariki EWMS na kumfukuza nchini sheikh Hassab bin Ameir ambaye alikuwa kiongozi mwandamizi.kwa kifupi bakwata ni baraza la serikali linaloshuhulikia masuala ya waislamu.Ndio maana chaguzi za BAKWATA husimamiwa na Usalama wa Taifa.hujiulizi kwanini BAKWATA wanaushirikiano mkubwa na serikali hata kwenye mambo ambayo serikali inaudidimiza uislamu na huwa inasapoti kila linalofanywa na serikali.Na kwenye event yoyote ya serikali hawakosekani ilhali hawana juhudi zozote za kusaidia kuundeleza uislamu.shule zao ndo zinaongoza kwa kufelisha,wameuza mali na vitegauchumi kibao walivyokabidhiwa baada ya kupokwa EMWS.Kwaufupi bakwata ni jipu.
Shura ya maimamu ndio tegemeo la waislamu kwa sasa.
 
hahahahahha...aliyekwambia wanatoa kafara ni nani? una ushahidi huo?

Aliyekwambia wanasali wakiwa uchi ni nani ? una ushahidi huo?

Tatizo lenu mnabeba stori za mitaani na kudhani ndio uhalisia...Poleni
KAMA WANAAMINI KTKT SHETANI, UNA HAJA GANI KUULIZA KTK KAFARA AU KUABUDU UCHI.
HIVI UKIAMBIWA SIMBA ANAKULA CHAKULA HAPO, WEWE UNAFIKIRI ANAKULA WALI AU UGALI!
WANAABUDU SHETANI NI WATOA KAFARA NA WANAABUDU UCHI.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
kwel shehe amenisikitisha sana! ila sishangai kwa sababu ndio sehemu ya balaza lile!
 
1. Watu wenye fikra ndogo wanaamini freemarson ni mashetani ndio maana watu wanalizwa mitaani na matapeli eti waungwe freemarson wawe matajiri

2.Narudia tena FREEMASON ni kikundi huru cha kijamii ambacho hakina uhusiano wowote na majini bali kilianzishwa na mafundi waliokuwa wa hali ya chini na wanateseka baada ya kuunganisha nguvu kwa pamoja wakawa na uwezo mkubwa kuwashinda wale waliokuwa wanawatesa. Hii ni sawa sawa na vikundi vya kucheza riba hapa bongo maarufu kama mchezo au vikoba

3. Sir chande ni Mtanzania mwenye imani ya KIHINDU na lizikwa kwa heshima zote za kihindu (kuchomwa moto)

4. Alikuwa ni mwanachama wa kikundi cha kijamii kiitwacho FREEMARSON kama vilivyo vikundi na vyama vya watu wenye hobi moja kama kibiashara, kiburudani n.k

5. Hivyo kumtupoa mawe SIR kuwa anakwenda motoni ni kinyume kabisa na unakuwa unaingilia kazi ya Mungu. Kuna mabaya aliyoyafanya kama binadamu na kuna mema ambayo ameyafanya vilevile. So kama ulivyo utaratibu wa kitanzania tunashirikiana katika misiba hivyo shehe ywa Dar hakutenda kosa hata kidogo labda kosa mmnatenda ninyi mnaomlaumu.
 
HIKI ULICHOKIELEZA WATU WENGI TUNAKIFAHAM, NA NDIYO MAANA MZEE CHANDE STILL ALIKUWA ANAINGIA MSIKITINI.
SUALA HAPA MISINGI YAO NI NINI. WANAAMINI KTK NINI.
WANAPOTOA KAFARA WANAFUATA MISINGI YA NANI.
NA WANAPOSWALI WAKATI MWINGINE WAKIWA BILA NGUO HIYO NI MISINGI YA NANI?

KWANI TAFSIRI YA NENO DINI NI NINI?
Walimtoa kafara nani? Uliwaona wanasali bila nguo?
Unaweza kuthibitisha kauli zako
 
Niweke sawa record sir andy chande alikufa kwa tatzo la utumbo mdogo kutoa sumu na sio presha, kisha jamn kumuombea yeyote dua sio dhambi mbona tunaish na wachawi ila wanajfcha na wakifa tunaowambea dua? nan anayejua freemasonry wanampinga mungu? kwa ushahidi upi? wakat hata viapo vyao wanashika vitabu vya mungu?? tazama wakat anapishwa grand master U.k. lingine tanzania ya ajabu sana kanumba alimbiwa freemasonry mbona alisaliwa na kwa mazko makubwa?? Wapo viongoz wa dini wana makanisa makubwa na wahumn weng ...lkn wanachukua power nigeria na weng wapo katika shirk kubwa mbona hamsemi?? Tuacheni unafiki jamn tena tuache unafiki..


mbona obama mnasema mason kaja hapa mlitaman had kumramba miguu?? michael jackson kafa kila ktuo cha habari wanaweka pcha yake chin na kupiga nyimbo zake? acheni unafiki jamn.

Inakuwaje mnajkuta nyie watakatifu kumbe wanafk wakubwa?? kinachomuingza mtu moton sio freemasonry yapo meng ambayo mnayatenda kila siku.

Ukiwa maskini mjinga
ukifankiwa freemasonry au unauza unga
Ukiwa hujpend unaitwa mchafu
ukijipenda ukapendeza wambiwa sharobaro


Hii ni nchi ya aina gani???
 
Bakwata iliasisiwa na Nyerere baada ya kuifanyia figisu na kuiua iliokuwa jumuia ya waislamu afrika mashariki EWMS na kumfukuza nchini sheikh Hassab bin Ameir ambaye alikuwa kiongozi mwandamizi.kwa kifupi bakwata ni baraza la serikali linaloshuhulikia masuala ya waislamu.Ndio maana chaguzi za BAKWATA husimamiwa na Usalama wa Taifa.hujiulizi kwanini BAKWATA wanaushirikiano mkubwa na serikali hata kwenye mambo ambayo serikali inaudidimiza uislamu na huwa inasapoti kila linalofanywa na serikali.Na kwenye event yoyote ya serikali hawakosekani ilhali hawana juhudi zozote za kusaidia kuundeleza uislamu.shule zao ndo zinaongoza kwa kufelisha,wameuza mali na vitegauchumi kibao walivyokabidhiwa baada ya kupokwa EMWS.Kwaufupi bakwata ni jipu.
Shura ya maimamu ndio tegemeo la waislamu kwa sasa.
Shura ya maimamu yenyewe imetolewa meno, kibogoyo na imeshaingiliwa kitambo.
 
Freemason huwa wanaombeana wenyewe.....hivyo msimshangae huyo ustadh ni kwamba alikua anamuombea mwenzie
 
ww muone mwenzio mdhambi uje umkute peponi kimya anakunywa pepsi baridi wakati huo ww unaelekea motoni....
hakuna mkamilifu wala ajuaye ya huko bali kila mtu kwa imani yake aombe sana.
Mkuu kumbe kuna kiwanda cha Pepsi huko!!
 
Ukiweka U-freemason mbeni , Sir Andy Chande alikuwa Binadamu hivyo yatupasa kumuuombea...
Mbona mkuu wa nchi anatufanyia vitu vya ajabu na Tunamuombea...
Hata hao wanaopiga kelele freemason hivi na vile ukiwauliza freemason ni nini hawajui.

Halafu kesho keshokutwa ma freemason wakichangishana wapeleke watoto wasiona uwezo kutibiwa moyo India, hao haowanaowasema freemasons ndio wa kwanza kutaka wapewe nafasi za kutibiwa.
 
Walimtoa kafara nani? Uliwaona wanasali bila nguo?
Unaweza kuthibitisha kauli zako
WEWE UNAWEZA KANUSHA KAULI ZANGU?
KAMA UNAWEZA NILETEE HAPA MISINGI YA IMANI YAO AU YENU NA KILE WANACHOAMINI/MNACHOAMINI.
 
Nimefunuliwa kuielewa freemasonry tangia nikiwa form 6 mwaka 2005.. Sio kila mtu ataielewa freemasonry na hatuna haja kuwafunulia muijue... inachekesha mnapoishutumu kuwa ni dini ya kishetani.. freemasonry sio dini.
 
Katika mtu ambaye ambaye Anatolia shaka hata na sisi waislam wenyewe ni huyo jamaa. Kwa ninavyofaham mm huyo jamaa ni kiongozi maslahi, hakuna jingine zaidi ya hilo
 
Back
Top Bottom