mimisiowewe
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 315
- 309
Umemaliza kila kitu.Huyo sheikh hayuko hapo kwa usheikh..yupo pale kwa kazi za Oysterbay
Umemaliza kila kitu.Huyo sheikh hayuko hapo kwa usheikh..yupo pale kwa kazi za Oysterbay
ww muone mwenzio mdhambi uje umkute peponi kimya anakunywa pepsi baridi wakati huo ww unaelekea motoni....
hakuna mkamilifu wala ajuaye ya huko bali kila mtu kwa imani yake aombe sana.

...tena takeawayMbona mkuu wa nchi anatufanyia vitu vya ajabu na Tunamuombea...
Asiyeelewa freemasonry na mission yake ni nani mbona wapo wazi tu angalau tu uwe na uelewa wa lugha ya English ambapo articles nyingi zimeilezea freemasonry kwa undani na masons wenyeweAliyekwambia Freemason wanaamini nguvu za shetani amekudanganya......tatizo hampendi kujishughulisha kuelewa mambo
Mashehe wa bakwata sio mashehe
Hebu tumuache shekhe musa maana anacho amini au kuabudu ni vitu viwili tofauti ingawa kimoja kinamtegemea mwingine ....sasa chamsingi tujiulize kwanini kila sherehe inayoashiria kuwa ya Freemason.... Tanzania au hata alipokuwa hai chande Mara nyingi Mkapa alikuwa anashiriki kikamilifu....hapo ndipo tujadili Mkapa ni freemason na anacheo gani sasa?Wana nini kwani wakati wao ndio masheikh wa ukweli
HIKI ULICHOKIELEZA WATU WENGI TUNAKIFAHAM, NA NDIYO MAANA MZEE CHANDE STILL ALIKUWA ANAINGIA MSIKITINI.Freemasonry sio dini...Kila mtu ndani ya Freemason ana ruhusa ya kuwa na dini yake anayoamini yeye..ila Wote kwa pamoja katika masonry kuna imani ya kuwa kuna Mungu mmoja na watu mbalimbali wanatumia namna anuwai kuelezea jinsi gani wanamfahamu Mungu...Kiufupi ni Brotherhood inayoamini katika "Supreme Being" in other words "God"
Hebu tumuache shekhe musa maana anacho amini au kuabudu ni vitu viwili tofauti ingawa kimoja kinamtegemea mwingine ....sasa chamsingi tujiulize kwanini kila sherehe inayoashiria kuwa ya Freemason.... Tanzania au hata alipokuwa hai chande Mara nyingi Mkapa alikuwa anashiriki kikamilifu....hapo ndipo tujadili Mkapa ni freemason na anacheo gani sasa?
Dada yangu nimekuwa mfuatiliaji wa comment zako niseme tu ukweli Busara imesheheni kichwani mwakoNinaamini ni jukumu la wazazi kuwafundisha watoto maadili ya dini na ninauhakika wazazi wa Sir Andy Chande walimfundisha mtoto wao yale waliyoamini. Uamuzi wake alioufanya ninaona alikuwa huru kama binadamu kuchagua dini ya kuabudu pia alisimama imara katika kile alichoamini. Apumzike kwa amani.
KWA HIYO MAAMUZI YA SHETANI WEWE UNAYAHESHIMU!?hata kama wanaamini nguvu za shetani, kama ni maamuzi yaliyofanywa na binadamu mwenye akili timamu tunapaswa kuheshimu maamzi yao.
HIKI ULICHOKIELEZA WATU WENGI TUNAKIFAHAM, NA NDIYO MAANA MZEE CHANDE STILL ALIKUWA ANAINGIA MSIKITINI.
SUALA HAPA MISINGI YAO NI NINI. WANAAMINI KTK NINI.
WANAPOTOA KAFARA WANAFUATA MISINGI YA NANI.
NA WANAPOSWALI WAKATI MWINGINE WAKIWA BILA NGUO HIYO NI MISINGI YA NANI?
KWANI TAFSIRI YA NENO DINI NI NINI?
Mbona unanilisha maneno mkuu? Ninaheshimu kila mtu na siingilii kile anachoamini.KWA HIYO MAAMUZI YA SHETANI WEWE UNAYAHESHIMU!?