Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Status
Not open for further replies.
Pelekeni watoto skuli sio madrasa tu! Huyo shekh hata form four hajafika ni wakupuuzwa,na ukimuuliza watoto wake wamesoma mpk wapi atakuambia wapo Pwani wanavua na wengine washoolewa kule uarabuni sasa JPM atawateua kwa vigezo vipi?kisa tu ni Waislam? Tuache ujinga!lazima tubalance shule na madrasa la sivyo rais anayetenda haki ataendelea kuwateua wakristo kwa sababu wapo serious na mambo ya shule! Angalia seminary za kiislam zinafanya vibaya kwy matokeo ndio utajua kwa nini lawama haiziishi,warudi kwy msingi kwanza ambao ni elimu! Mfano kwy matokeo ya form four mwaka jana shule kumi za mwisho,km sikosei tano zinatoka zanzibar!ss huko shule mnasoma kuandika kiarabu tu? Angalia alharamaini,alhijra seminary hamna kitu full zero na div four!rudini kwy msingi ambao ni elimu,Jk ndie aliyelete hizi sera ndio mana serikali ilikua imejaa majizi,wezi na mafisadi mnk aliangalia vigezo visiovyo vya msingi km udini,ukanda nk!ss km mrekebisha mambo mtalalamika sana!rudini kwy msingi ambao ni elimu,elimu,elimu
Uliza kwanini baraza liliwahi kumfukuza aliyekua analisimamia, ukipata jibu uje.
 
Chadema hii ipoje?

na ile ya JK ilikuwaje?
Hii ya sasa hivi ipo ipo tuu. Hawajui pakushika. Walitegemea sana uungwaji mkono toka kwa maaskofu. Sasa maaskofu hawana kazi nao tena kwani aliepo madarakani ni ndugu katika bwana.

Wakati wa Jk walikuwa mawakala kamili wa kanisa kuhakikisha Jk hapati utulivu na kufikia malengo. Khofu kubwa in kuona itakuwa sifa kwa muislamu
 
Hii ya sasa hivi ipo ipo tuu. Hawajui pakushika. Walitegemea sana uungwaji mkono toka kwa maaskofu. Sasa maaskofu hawana kazi nao tena kwani aliepo madarakani ni ndugu katika bwana.

Wakati wa Jk walikuwa mawakala kamili wa kanisa kuhakikisha Jk hapati utulivu na kufikia malengo. Khofu kubwa in kuona itakuwa sifa kwa muislamu
Na sasa masheikh nao wameanza sio?
 
Shule shule shule.
Waislamu juzi ndio.kwanza sheikh mkuu ameanza kubadili mitaala ya madrasa ili pia wasome masomo ya kawaida.

Kuhusu ukanda.
Namshauri ajiulize nchi hii ina wanasheria wengi tokea wapi, maprofesa wengi wanatoka kanda ipi,
Tembelea hizo za ilboru,Kibaha,Pugu,Tabora boys,Minaki nk
Nenda hata shule za kutwa baada ya hapo pata jibu.

Shule nyingi.za pwani ambako ndiko waislam ni wengi nenda Chanikah ama Manelomango.
Fuatilia wangapi wanatokea huko wanafika chuo kikuu?
Kama wote wapull out form II,IV na wachache VI hutaona sura ya kitaifa. FORGET

Kwa hiyo ni muhimu kubadilika na kuamua kusoma kweli.

Kwa hiyo kanda ya mashariki imejaa makabila tofauti kwa hiyo ndio maana hata Dar hadi diwani mkulya au msukuma au mchaga.
Kwahiyo ninyi mnashule na mifumo mizuri ya kielimu? Kwanini nchi inaangamia nanyi ni wazuri kielimu, au ni mambo ya kutokua na mipaka katika utafutaji wenu ila kwenda kutoa sadaka baada ya kupiga.
 
Mm ni CCM damu damu, nitasema haya bila unafikia..

. Mkuu wa nchi anachagua watu wa kanda ya ziwa ktk nafasi zote kubwa kwa wingi sana, liko wazi.. eg mawaziri, Naibu waziri, makatibu wakuu, Naibu katibu wakuu, wakuu wa mikoa, makatibu tawala, wakuu wa wilaya, wakurugenzi, makuu wa taasisi, mamlaka na wakala mbali mbali, wengi ni kutoka kanda ya ziwa.. tena kwa asilimia kubwa sana..

Hili la ukabila naliona wazi wazi.. sikutegemea Magu afanye hivi aiseee.! mara nyingi alisema ktk kampeni akilaani ukabila, lkn ktk teuzi zake iko wazi kabisa, ni ukabila mtupu..

Sbb kila mtu anaona.. iko wazi.. hili la ukabila Mh. inabidi ajitafakari upya..

Kuhusu udini, sioni sanaa, sbb waislam wengi hawajasoma, sasa kazi zingine za profession huwezi chagua mtu tu sbb ya udini.. waislam wengi shule kidogo iko kushoto, but most are not intellectuals.. huwezi kupata ufanisi ikiwa sio mtaalam alafu upewe tu nafasi kwa kigezo cha dini.. hilo hapana kabisa
 
Hii ya sasa hivi ipo ipo tuu. Hawajui pakushika. Walitegemea sana uungwaji mkono toka kwa maaskofu. Sasa maaskofu hawana kazi nao tena kwani aliepo madarakani ni ndugu katika bwana.

Wakati wa Jk walikuwa mawakala kamili wa kanisa kuhakikisha Jk hapati utulivu na kufikia malengo. Khofu kubwa in kuona itakuwa sifa kwa muislamu
Kudos!
 
Kwanza futa neno "mko"
Pili kutokukubali kwamba wakristo ni wengi kuliko waislamu, ni uwezo mdogo wa kutadhimini
Usimwambie mwenzako kuwa ni uwezo mdogo, muelimishe kwa kumpa data kuwa wakristo ni kiasi fulani na waislamu ni kiasi fulani nchini....hapi utakuwa umemkata mazungumzo mkuu.
 
Chige shule za sekondari haziwezi kutupa uhalisia wa uiano wa wasomi ktk ukristo na muislamu,
Akili za hovyo kabisa hizi... kumbe hao wanaofika vyuo vikuu wanaanzia wapi?
twende mbele kidoogo hadi vyuo,kwa kuwa inaelekea wewe ni mdini
Badala ya kujibu hoja unaleta viroja!! Hizi ni miongoni mwa posts zako ambazo zinatoa picha halisi ya kwamba wewe ni kiumbe wa aina gani!
Shetani mnamuabudu kila uchao eti swala tano wakati huohuo mnajitoa mhanga
Ni ukweli maana kuna Dada mmoja nimesoma nae anaitwa fatuma ni muislamu wa kiaina alipata kazi atapelekwa singida kama sijasahau,yeye anakiri wazi kuwa jina lake ndo lililompa kazi n huwa wanapewa majibu ya interview,yeye mwenyewe alishangaa hali hiyo
PPspf si alikuwepo mujahidina na akamkabithi mujahidina Adam mayingu tena mtu wa IT na ndo anamaliza kabisa,alipoteuliwa mama Carina wangwe Nssf mlipiga kelele ooh kasoma IT hawezi kukaimu mbona huko pspf hamsemi,
MH uchunguzi ulifanyika wapi mkuu au msikitini
Miaka kumi ya jk makontena 12000 hayalipiwi kodi na wakwepaji majina yao juma,haji,ramadhani,khalfan
Mbona ktk awamu mbili ya kwanza na tatu hakukuwa na ujinga na uchumi ulionekana nyie mnaishia kupata ushauri wa familia wakati aloteuliwa ni baba
Angalia profile yangu kama utakuta posts zenye chuki za kidini kama zako!! Na labda nikuambie jambo moja... jana nilisoma posts zako mbili hapa... nikashituka kuona mwanamke ana maneno machafu na mwingi wa chuki... nimezoea kuona wanawake wakiwa na busara na ustahimilivu! Naamini wanaume ndo tuna silika ya ufedhuli na maneno machafu! For the sake of women dignity, nikaamua kukupotezea
Mkuu hawa wamelimaliza shirika
Sasa watakoma
Am very sorry kwa watoto wanaolelewa au watakaolelewa na mama wa aina yako! Full chuki za kidini. Na kwavile umetawaliwa na chuki umeshindwa hata kuelewa hoja na badala yake kuvika hoja ya udini kwavile ndicho ulichozoea!

Hoja yangu ni kwamba ni UPVMBAVU watu kuleta hoja ya madrasa na Quran wakati majority ya Waislam hata hiyo Quran yenyewe hawaijui na madrasa kwenyewe wanaenda wakiwa wadogo na kuacha mapema! Kwahiyo ni mjinga tu ndie ataamini ikiwa Waislamu hawajaenda shule basi hiyo inatokana na madrasa!! Na ndio maana nikahoji; ama ndivyo mnavyokakarishwa makanisani? Manake majority mmekuwa kama kasuku... madrasa; madrasa!

Hii ndiyo hoja... sasa udini upo wapi hapo? Au kwavile umezoea kueneza chuki za kidini kama inavyothibitishwa na posts zako hapo juu?
basi fanyia kazi hii kitu vyuoni na utaondoka na PhD kwa kuwa utakuja na facts kuwa kati ya wakristu na waislamu wasomi wengi kina nani,ili kutokupoteza muda mwingine chagua UDSM engineering,computa na UCLASS,baada ya hapo nenda MUHAS NA mwisho nenda chuo cha sokoine,njoo na hizo fact hapa tuchambue
Ndo yale yale mawazo ya kijinga ninayosema!! Ni mawazo ya kijinga kwa sababu mtu smart anafahamu hao ni less than 10% of Christians!!! Kuna malaki kwa malaki ya Wakristo hawajui hata kusoma na kuandika! Yaani ni sawa sawa na leo hii Waislamu wajisifu utajiri kwa sababu ukiangalia kule juu kuna akina Bakhresa, Mohammed Dewj and the like huku wakisahau ama kwa kutojua au kwa ujinga tu kwamba hao ni tone tu la maji kwenye bahari ya Waislamu wanaoogolea kwenye dimbwi kubwa la umaskini!

But all in all, tuseme nyie ndo wasomi sana! Ni miaka 55 sasa tangu nchi upate uhuru na bado tunaogelea kwenye umaskini wa kutisha ingawaje taifa lina raslimali kila mahali! Sasa huo usomi wenu mnaojigamba nao una manufaa gani kwa taifa? Au pamoja na kusoma kwenu lakini bado kichwani hamna kitu? Au ndo kama ambavyo Faiza Foxy amekuwa akihoji uko shule mnaenda kusomea ujinga, au?!
 
Mkuu tupe moja ya matamko ya maaskofu yaliyo base ktk udini wakati wa jk,Mkitaka ku balance muanzie shule za msingi,sekondari hadi vyuo,FANYENI tafiti muone ni wapi mlikokosea msahihishe
huu utetezi dhaifu sana,kwamba mnawanyima madaraka waislamu kwakuwa hawana sekondari..ha ha ha,hivi tupitie cv za viongozi waliopo mmoja baada ya mwingine,tulinganishe hata na wabunge waislam cv zao,tutakosa kweli waislamu hata100 wenye cv sawa na hawa viongozi na ama hata kuwazidi?,
kisingizio kinapwaya,jaribu tena
 
Waislamu Tanzania hii, mahala ambapo wapo angalau 30% kama siyo pungufu ni Dar, Pwani, Mtwara, naTanga, basi!

Mikoa mingine ni wachache sana, utakuta makanisa yapo saba, jumapili yanafurika hadi wanasalia nje, msikiti upo mmoja au hakuna kabisa, ukienda ijumaa, wapo watu 20 au 30,

Ukienda shule ukatazama takwimu, katika watoto 600, utakuta waislamu 15 pengine 5
hii inatoa uwiano kabisa, bora hata mijini, au vijiji vya pwani pwani huko kwingine hawapo!!
Na bila kuisahau zanzibar mkuu
 
Hata tukiangalia idadi ya watz wakirsto na waislam wapi wako wengi zaid ya wengine? Ukishajibu utajua kuwa hata kwny teuz lazma wawe wengi pia
Hata kwenye teuzi za Kikwete wakristo walikuwa wanakuwa wengi...alikuwa hana jinsi hakukuwa na uwiano wa 50/50...ivo swala la udini tulipuuzeni kuwa mwenye uwezo na taaluma atateuliwa lkn siyo kuangalia dini yke
 
Huyo Shekh akamatwe. Wala wasimuogope eti yy ni Shekh.

Elimu na utendaji kazi ndivyo vigezo pekee JPM anatumia. Ww usome Madrasa wee uje utake ukurugenzi!!!
 
Pelekeni watoto shule ili baadaye waje kuwa viongozi, lawama hazisaidii wakati huu shekhe.
 
Mm ni CCM damu damu, nitasema haya bila unafikia..

Ukabila uko wazi sana serikalini sasa hv.. Mkuu wa nchi anachagua watu wa kanda ya ziwa ktk nafasi zote kubwa kwa wingi sana, liko wazi.. eg mawaziri, Naibu waziri, makatibu wakuu, Naibu katibu wakuu, wakuu wa mikoa, makatibu tawala, wakuu wa wilaya, wakurugenzi, makuu wa taasisi, mamlaka na wakala mbali mbali, wengi ni kutoka kanda ya ziwa.. tena kwa asilimia kubwa sana..

Hili la ukabila naliona wazi wazi.. sikutegemea Magu afanye hivi aiseee.! mara nyingi alisema ktk kampeni akilaani ukabila, lkn ktk teuzi zake iko wazi kabisa, ni ukabila mtupu..

Sbb kila mtu anaona.. iko wazi.. hili la ukabila Mh. inabidi ajitafakari upya..

Kuhusu udini, sioni sanaa, sbb waislam wengi hawajasoma, sasa kazi zingine za profession huwezi chagua mtu tu sbb ya udini.. waislam wengi shule kidogo iko kushoto, but most are not intellectuals.. huwezi kupata ufanisi ikiwa sio mtaalam alafu upewe tu nafasi kwa kigezo cha dini.. hilo hapana kabisa
Tupe data kanda ya ziwa kuna mawaziri wangapi serikalini not manaibu? Tuaminishe hilo kwanza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom