Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Sheikh Khalifa Khamis amzushia UDINI Rais Magufuli

Status
Not open for further replies.
kiukwel udini upo tena sana bhasi kama anateua kwa haki asingeteua makada angeteua watu wenye uwezo zaidi tena wapo sana ndani na nje ya ccm..kigezo kengine anachotumia sifa mtu ukiongea kitu saf bhas shav lako!!jaman tuongee ukwel mbn enz za kikwete haikuwa kama hv??
 
Angalieni majina hata ya wauzaji wa madawa ya kulevya na majambazi majina yao ni yapi yanajitokeza sana ya kikristu au kiislamu ? Muacheni rais afanye kazi yake mtaendelea kuisoma namba
 
pamoja na kujenga ofisi kuu ya bakwata na misikiti ya moroko,bado hajazigusa nafsi.

shida ya wananchi ni maisha bora,sio nyumba za ibada,hata nje tunaswali tu

Mfalme wa Morocco alipofanya ziara Tanzania Mh Dr Magufuli kawaombea waIslam wajengewe msikiti mkubwa lakini bado hawajatosheka.
 
Kwa kweli mbali ya kua muislam, kuna haja ya waislam kuwasomesha watoto wao madrasa na pia shuleni wakasome elimu ya kawaida. La sivyo tutaishia kulalama na kuibua hoja zczo na mantiki. Unakuta watto wanaenda kusoma Qur'an kila siku badili ya kutenga mda wao pia kusoma elimu dunia. Sasa ukimuliza huyo sheikh mtto wake kasoma mpk wapi atakwambia kahifadhi juzuu.

zuu
Wachache mnajielewa![emoji122] [emoji122] congrats
 
Mfalme wa Morocco alipofanya ziara Tanzania Mh Dr Magufuli kawaombea waIslam wajengewe msikiti mkubwa lakini bado hawajatosheka.
Jifunze kuelewa kwanza... mada ni nyadhifa Serikalini wewe unazungumzia misaada

Mwalimu wako alikuwa na kazi kubwa sana
 
Jifunze kuelewa kwanza... mada ni nyadhifa Serikalini wewe unazungumzia misaada

Mwalimu wako alikuwa na kazi kubwa sana

Tatizo lenu kulia lia imekuwa jadi yenu.Umesikia nyazifa srekali zinatolewa msikitini au kanisani kama mnapenda nafasi za uteuzi jengeni misikiti mingi mteuane huko.
 
Hizi takwimu ni za kitaalamu na sio za makanisani. Source: CIA World fact book.
Hao CIA wamefanya lini hiyo sensa?! Tunarudi kule kule... let's say idadi ya Wakristo waliipata kutoka kwenye sensa inayofanywa makanisani; wapi walipata data kuhusu Waislamu na Wapagani? Au walikuwa wanategesha misikitini na kuhesabu wangapi wanaingia na kutoka misikitini?!

But anyway, CIA wanasema Christians ni 61% na Waislam ni 35%! Wakati huo huo The International Institute for Applied Systems Analysis (IIASA) wao wanasema:
CIA2.png


Who're IIASA?! Hawa hapa: Is an international scientific institute that conducts research into the critical issues of global environmental, economic, technological, and social change that we face in the twenty-first century.

Hizo figure IIASA wamechukua CIA World Fact Book mwaka 2002:
CIA1.png


Source hii hapa!

Na kuonesha IIASA hawajadanganya, Wikipedia nao walitumia Data za CIA World Fact Book mwaka 2004 na hizi ndo takwimu zao, na source hii hapa
CIA.png


Haya nisaidie wewe! Chini ya miaka 15 iliyopita, CIA wanatuambia Tanzania ilikuwa na Wakristo 30% lakini leo wanasema 61%!!! Hiyo doubling ya ndani ya miaka 15 imetokana na nini?! Au CIA unaowazungumzia wewe sio hao wanaoandaa World Fact Book?!
 
Kitu kinachoitwa "political correctness" ni muhimu sana kwenye teuzi za kisiasa...
 
Mbona mnatusingizia hatujawahi kuwa na rais mkristo... Mkatoriki sawa... Mkristo ni yule aliyempokea Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wake (mitaani wanawaita WALOKOLE)
 
Mbona mnatusingizia hatujawahi kuwa na rais mkristo... Mkatoriki sawa... Mkristo ni yule aliyempokea Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wake (mitaani wanawaita WALOKOLE)
Wewe nawe umetokea wapi?

Kwahiyo Wakatoliki si wakristo?
 
mimi ni mkristo lakini sioni faida binafsi ya kuwa na mkristo ktk ofisi za serikali bali utaratibu lazima ufuatwe,anataka waislamu wa nini labda anataka upendeleo,pole yake,uislamu na ukristo ni kwa ajili yamambo ya ahera,kama amesilimu ili apewe cheo atasubili sana.
 
Hao CIA wamefanya lini hiyo sensa?! Tunarudi kule kule... let's say idadi ya Wakristo waliipata kutoka kwenye sensa inayofanywa makanisani; wapi walipata data kuhusu Waislamu na Wapagani? Au walikuwa wanategesha misikitini na kuhesabu wangapi wanaingia na kutoka misikitini?!

But anyway, CIA wanasema Christians ni 61% na Waislam ni 35%! Wakati huo huo The International Institute for Applied Systems Analysis (IIASA) wao wanasema:
View attachment 434038

Who're IIASA?! Hawa hapa: Is an international scientific institute that conducts research into the critical issues of global environmental, economic, technological, and social change that we face in the twenty-first century.

Hizo figure IIASA wamechukua CIA World Fact Book mwaka 2002:
View attachment 434041

Napenda mtu kama wewe unayependa mijadala na siyo kutukanana. Kwanza. Data zako si factual na hizo ulizonipa ninazijua lakini zinazungumzia kitu kingine kabisa sitaingia ndani.

Pili Data za 1967 SIZO hizo zinazotumika sasa zilizopo sasa ni UPDATED na facts. Na facts ni kwamba WAKRISTO ni WENGI Tanzania
METHODOLOGY yao waliyotumia ni ya kisayansi ikiwemo mambo MBALI MABALI na MENGI sana kufikia hapo {sic}

Unajua kuna data tunazoziita SKEWED data. Ambazo zinawekwa kwa ajili ya manufaa ya watu ama kikundi fulani. Lakini hizi nilizokupatia zina sapotiwa duniani kisayansi statistically.
Pew research nao ya mwaka 2010 ni hivyo hivyo.

Kama walikaa Misikitini ama makanisani siwezi kuingia ndani kuelezea utaalamu wao walioutumia.

Jambo moja TUNAKUBALIANA WAKRISTO ni
61.4%
kati yao Wakristo 51% wako affliated to Catholic Church.
Na WAISLAMU ni 35.2%
Hapo hakuna mjadala
 
Rais akiwa Muislam mnasema mdini akija mkristo ndio mnabinua midomo, ptyuuuuu
Sisi waafrika tumeshidwa kuendelea kwa kuendekeza ujinga na uvivu wa kufikiri,ndiyo maana bwana yule wa taifa lile kubwa aliamua kututusi kadri njisi vile alivyoona inampendeza.Tumezaliwa tumewakuta wazazi wetu wakiishi maisha ya kuomba omba wakiongozwa na viongozi wao,sisi wenyewe bado tunaendelea kuomba omba ili tuishi na tule na watoto wetu wasome,tupate madawa hospital,tutakufa tukiomba na hata watoto wetu watakuwa ombaomba.Tualalamika hovyo hovyo sana huu ni upumbavu wa hali ya juu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom