Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

View attachment 2945052
Wakuu,

Mwenzenu naona aibu sana. Jinsi Magufuli alivyokuwa akijitapa mara atembelee Msikiti huku kavaa Kanzu, Mara amtume Makonda, mara aipige biti. Nimeona aibu sana kwa jinsi alivyokuwa akijitapa.

Kuna siku alisema eti, Mfalme wa 6 wa Morocco alipokuakuja nikamuomba Msikiti. "Akashangaa ananiangalia machoni", nikamuuliza nini? Akasema nimeshangaa Mkristo unaomba Msikiti.

Sasa BAKWATA Wamevunja ukimya na kuweka Kumbukumbu sawa.

Wamesema aloomba Msikiti ni Jakaya Kikwete. Magufuli alikuwa anafanya siasa tu.
View attachment 2945053
Sasa kwanini Hayati Magufuli atafute kiki kwa Msikiti badala ya Makanisa?

Mimi niliikuwa nashangaa. Mafuli awe na moyo wa kuomba Msikiti halafu Watu kila siku watekwee na kupotea?

Asante sana BAKWATA. Sasa nimeanza kuwqamini.

TAKBIR.
Mumlaumu aliyesimama mbele ya umati na kusema hayo mnayoyakanusha leo. Upuuzi mkubwa sana huu mtu mkubwa anadharirishwa hovyo namna hii kwakweli hata Mungu hapendi sio vizur
 
Si busara kuzungumzia nani ameomba hivi sasa. Wote wameshiriki kuufanikisha. Angekataa, Msikiti usingeendelea.
Mngezungumzia: kwa nini Tanzania iombe hata kujengewa msikiti? Matajiri wawili tu wangeweza kuujenga, ila roho mbaya na uchu wa fedha.....
 
Huu ni unafiki na unafiki hauhitajika kwenye dini, kama ni kweli wangempinga kipindi yupo hai.
 
MAGUFULI HAHITAJI KICK YA MSIKITI!
Mwamba "JPM!"
John Pombe Magufuli... ameondoka Dunia na hatarudi kamwe.Hii ni kanuni ya ki-maumbile ya Ki-dunia,kulingana na mafundidho ya vitabu vitakatifu vya Mungu kwamba kila nafsi itapitia hatua hiyo kwa muda wake utakapiwadia.

Mimi ninachofurahia ni jinsi Magufuli alivyoacha "Landmarks" lukuki ambazo zinawatesa hawa wapigaji wa kisasa wa kisiasa!

Hawawezi kumfuta Magufuli kirahisi ilhali kaacha Landmark kila kona ya nchi

Nitaziorodhesha hapa na muelewe sababu ya Magufuli kutofutika kirahisi Hapa nchini.

IKULU ya Chamwino-Dodoma.
BWAWA LA UMEME la Nyerere.
UKUTA wa Mererani-Manyara.
DARAJA la Tanzanite-Dar es Salaam.
FLYOVERS ya Mfugale -Dar es Salaam.
STENDI YA MAGUFULI-Dar es Salaam.
BARABARA NJIA SITA-Ubungo mpaka mbezi na kuendelea mlandizi.Dar es Salaam.
STENDI KUU -Morogoro.
SOKO KUU-Mwanza.
STENDI KUU-Nyegezi,Mwanza.
STENDI KUU-Nyamhongolo Mwanza.
UWANJA WA NDEGE-Chato.
DARAJA LA WAMI- TANGA.
BOMBA LA MAFUTA -Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania.
RELI YA SGR-Dar es Salaam mpaka Mwanza.

Hizi ni Landmarks na sio vitu vinavyohamishika.ndio maana sijataja Meli wala Ndege.
Kuna pia Zahanati zaidi ya 478 pamoja na hospitali za Wilaya,Rufaa pamoja na za kanda kama Hospitali ya Rufaa Chato.
Kiongozi kama huyu huwezi futa legacy yake kwa kutumia keyboard.

Halafu watu fulani wenye kushiriki uovu kupigana na Legacy ya JPM huku wakitaka kuzitumia hizo Landmarks za JPM kwenye uchaguzi ujao wa 2025.Ushahidi uko wazi.

Watuambie kwanza hizo awamu zingine ukiondoa ya Baba wa Taifa JK Nyerere(R.I.P),na pia Benjamin Mkapa(R.I.P).

Hao wengine watuambie legacy zao walizotuachia zaidi ya Ufisadi,Majungu na Kupigana na Makaburi.
Na kama taifa!
Ni nini na zinatusaidiaje kwa sasa kama zipo?
Msikiti hahusiki lkn
 
Rais John Magufuli wa Tanzania, aliyefariki mwezi Machi 2021, aliacha urithi mkubwa uliokuwa na uongozi imara, jitihada za kupambana na ufisadi, na umuhimu wa maendeleo ya miundombinu.

Alikuwa anajulikana kwa jina lake la utani "Bulldozer" kutokana na azma yake ya kusukuma sera na miradi. Utawala wake ulipatia kipaumbele viwanda, miradi ya miundombinu kama barabara na reli, na jitihada za kuboresha huduma za afya na elimu.

Hata hivyo, uongozi wake pia ulikosolewa kwa mwelekeo wake wa udikteta, kuzuia upinzani, na kutilia shaka COVID-19. Kwa ujumla, urithi wa Magufuli ni mchanganyiko wa mafanikio na utata, ukionyesha nguvu zake na mapungufu yake kama kiongozi.

Kwangu mimi Magufuli alikuwa ni Rais bora kuliko wengine waliopita, Kipi bora kujenga Mahoteli na kuwekeza nje ya nchi miradi isiyo na manufaa kwa umma au kujenga miradi kadhaa kanda ya ziwa na chato ambayo taifa litaona na itanufaisha watu wengine katika nchi?.

IKULU ya Chamwino-Dodoma.
BWAWA LA UMEME la Nyerere.
UKUTA wa Mererani-Manyara.
DARAJA la Tanzanite-Dar es Salaam.
FLYOVERS ya Mfugale -Dar es Salaam.
STENDI YA MAGUFULI-Dar es Salaam.
BARABARA NJIA SITA-Ubungo mpaka mbezi na kuendelea mlandizi.Dar es Salaam.
STENDI KUU -Morogoro.
SOKO KUU-Mwanza.
STENDI KUU-Nyegezi,Mwanza.
STENDI KUU-Nyamhongolo Mwanza.
UWANJA WA NDEGE-Chato.
DARAJA LA WAMI- TANGA.
DARAJA LA JPM Busisi Mwanza
MBORESHO YA SHERIA ZA MADINI (Government shares)
UWAJIBIKAJI NA USIMAMIZI WA MALI ZA UMMA
BOMBA LA MAFUTA -Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania.
RELI YA SGR-Dar es Salaam mpaka Mwanza.
 
Huyu mtu alikuwa na mapenzi ya dhati kwa Watanzania wote. Ukweli usemwe. Ingawa kama binadamu alifanya makosa, ila kwa nia njema. Mungu atamhesabu kwa nia yake.
Ama kuhusu Kikwete kuwa ndiye aliyeomba msikiti, mhuu....Kikwete bwana aliacha mambo yote muhimu hadi mwisho wa uongozi wake, tena kwa kustuka wakati ni saa tano na nusu! MUDA WA MIAKA 9 MIEZI 11 NA WIKI MBILI alikuwa akizurura tu! Nani kamwambia aombe msikiti wakatii wa mwisho wa uongozi wake? Hivyo hivyo alituaminisha alifikiria kujenga SGR na hata bwawa la Nyerere.....mwisho wa kipindi chake!
 
Kiki zinazidi kufutwa, na sasa historia ya ukweli inawekwa hadharani. Kongole kwa Sheikh Jongo.
 

Sheikh Jongo amesawazisha historia, umma wa wenye Imani na pia waTanzania kwa ujumla sasa tutaendelea kupata historia sahihi kinyume na utawala wa kidikteta ulivyokuwa unataka kuandika historia isiyo sahihi.

This royal decision came as a response to a request by Mufti Sheikh Abu-Bakr Ibn Zubayr Benali, President of BAKWATA

King Mohammed VI Launches Building Works of Mosque in Dar es Salaam​


King Mohammed VI Launches Building Works of Mosque in Dar es Salaam

By Staff Writer
Oct. 25, 2016 11:11 a.m.

Dar es Salaam - King Mohammed VI, Commander of the Faithful, accompanied by HH Prince Moulay Ismail, in the presence of Tanzanian Prime Minister Kassim Majaliwa, launched, on Tuesday, the construction works of a new mosque in Dar es Salaam, which the sovereign named "the Mohammed VI Mosque".

This royal decision came as a response to a request by Mufti Sheikh Abu-Bakr Ibn Zubayr Benali, President of the National Muslim Council of Tanzania, who expressed the need for a mosque and its facilities in Dar es Salaam.


Afterwards, the Chairman of the National Muslim Council of Tanzania, who is also a founding member of the Mohammed VI Foundation for African Ulema, gave a speech wherein he expressed his thanks and gratitude to HM the King for building a grand mosque in Dar es Salaam and naming it after him.

Later on, a cooperation agreement in the field of religious affairs was concluded and signed between the Mufti and the Moroccan Minister of Religious Endowments and Islamic Affairs Ahmed Toufiq.

It covers traditional education, religious foundations, construction and management of mosques, exchange of experiences, and other forms of cooperation which aim to preserve authentic Islamic values and help prevent all forms of deviation and extremism.

© MoroccoWorldNews.com

@ chiembe
 
Back
Top Bottom