Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,401
Aliwekewa bastola kiunoni ina maana kiuno chake kilikuwa kwenye dirisha la gari lake?Ama unazungumzia kiuno cha nani?uchambuzi gani huu?Wengine wanasema eti kapotea,amekuwa coin?ama hata amekuwa mtoto mdogo?Ama hata alikuwa kwenye matembezi au yeye mwenyewe alikuwa akiendesha hadi tuseme alipotea?
Huyu kajificha,period!Na kama ni kweli yeye alikwenda kusikojulikana mida ya saa tatu usiku,halafu kama ni kweli Ponda alikamatwa saa tano usiku,basi kuna mwana inteligensia ama polisi aliyemvujishia habari kumwambia na wewe utakuja kukamatwa.Ni sawa na operations za kukamata wahalifu lakini huwa kuna polisi wanaowavujishia siri baadhi ya wahalifu ili wasikamatwe.That's the way i see it.
Mtu aone gari jingine ambalo hata dereva wake aliliona(na kwamba hajawahi kuliona), na akashuka mwenye kulifuata useme ametekwa?
mkuu vipi punguza jazba! leo england vs poland saa ngapi! ...??