Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,401
Utakuwa punguwani kama umeona jazba hapo.Jazba ni kuchoma makanisa na kupreach hatred,we vipi?
mkuu fuatilia thread zangu utaona marachache huwa nakuwa kwenye haya majukwaa yenu! utanikuta sana michezo kule. na pia mimi sio mshabiki wa hizi dini zenu za kuletwa na majahazi niondoe kabisa huko!..
ulinijibu kwa kauli nzito ndio maana nkakwambia taratibu punguza jazba...
naomba tuheshimiane