Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,648
Kama upumbavu wenzio wamechachawa huko ... wanajua shughuli yake ndio maana ...
Yaani hapo sheikh kapewa chake apotezee hiyo kitu ... ha ha ha ha haaaa wasio julikana tayari wamejulikana ha ha ha haaaaq
Mnajiaminisha mambo ya kipumbavu.
Yaani kusema msikusanyike nyie tayari mnarukia kuhitimisha kuwa mnaogopwa?
Hakika rais Mkapa hakukosea.
Tokeni hapa na huo upumbavu wenu wa kufikirika.