Sheikh aliyesemekana atasoma Alhul badr ahojiwa na kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Muheza

Hata kama Mungu hayupo na al-badr haifanyi kazi, watu kusema wanasoma al-badr ni kujieleza kwa njia yao kwamba hawana imani na serikali na vyombo vyake.

Ndiyo maana unaona mpaka polisi wanahangaika nao.
Kusema ukweli ingekuwa ni juu yangu ningewaacha tu wasome hiyo albadiri yao.

After all mimi ni mtu mwenye kuamini haki sawa kwa wote.

Kwa msingi huo naamini hata wapumbavu nao wana haki ya kuwa wapumbavu na wana haki ya ku exercise upumbavu wao madhali hawaingilii haki za wengine.

Kwa hiyo sioni sababu ya kuwakatalia hao walokuwa wanataka kuisoma hiyo albadiri.

Tatizo huenda waliopo madarakani nao wanaamini katika hayo mambo ya kufikirika na ndo maana wamepiga marufuku.
 
Kusema ukweli ingekuwa ni juu yangu ningewaacha tu wasome hiyo albadiri yao.

After all mimi ni mtu mwenye kuamini haki sawa kwa wote.

Kwa msingi huo naamini hata wapumbavu nao wana haki ya kuwa wapumbavu na wana haki ya ku exercise upumbavu wao madhali hawaingilii haki za wengine.

Kwa hiyo sioni sababu ya kuwakatalia hao walokuwa wanataka kuisoma hiyo albadiri.

Tatizo huenda waliopo madarakani nao wanaamini katika hayo mambo ya kufikirika na ndo maana wamepiga marufuku.
Wengine wachochezi hawa wanajifanya kusoma aribadiri kumbe wanafanya mkitano ya kisihasa, afande kawashtukia.

Tehe,tehe tehe.
 
Polisi wanaogopa nn? Wakati wanarahisishiwa kazi? Kuna jambo limejificha hapa siyo bure.
Wabongo tisa kati ya kumi wanaamini haya mambo.

Wanaogopa labda kuna "amri kutoka juu" ilihusika, jeshi lao likahusika, sas labda al-badr itawapatiliza wote.
 
Wanaogopa nini Kwani hiyo ni albadiri ya watuwasiojulikana wao haiwahusu

Kwani nao ilikuwa lazima kutangaza?

Si wasome kimya kimya kama itawafika wahusika 'iwashughulikie'

Ingwa mimi huwa siamini hayo mambo, ni watu na imani zao tu.
 
Serikali haina dini ila Wananchi wake wana Dini....sasa kwanini wakatazwe kuomba Mungu wao ????


Mpaka jumapili Maombi saiv yamepigwa stop ....
54c4d35f8791bb28fd0230c43c6004ce.jpg
kwa iyo watapita kukagua makanisani
 
Nyani Ngabu inawezekana una hoja kuhusu Albadir lakini hoja ya wengine nayo ni halali na wala si kwenye kuamini ama kutokuamini kwamba albadir inafanya kazi ama la, bali ni kwa nini Serikali inalifanya jambo lisilo la maana kuwa la maana. Taharuki ya Serikali kuhusu hiyo Albadir inasababishwa ni nini?
 
Nijitokeze wapi?

Si huyu hapa nipo....

Huo ujinga wenu wa albadiri hauwezi kunipata hapa nilipo mpaka nijitokeze?

Hahahahaaa...eti nijitokeze wakati tayari nipo hapa nauponda.

Kama upo kweli nisomeeni mimi tuone...wajinga wa mwisho nyie.

Mnachoweza ni kulialia tu nyuma ya keyboards.

FOH with that bullshit. It doesn't exist.
Walah nakusomea albadir wewe
 
Nyani Ngabu inawezekana una hoja kuhusu Albadir lakini hoja ya wengine nayo ni halali na wala si kwenye kuamini ama kutokuamini kwamba albadir inafanya kazi ama la, bali ni kwa nini Serikali inalifanya jambo lisilo la maana kuwa la maana. Taharuki ya Serikali kuhusu hiyo Albadir inasababishwa ni nini?
Hiyo mbona sipingi!

Hujaona hapo nilipomjibu Al-watan?

Mimi ni muumini wa haki sawa kwa wote. Naamini watu wana haki ya kuamini chochote watakacho.

Pia nimesema kuwa ingekuwa ni juu yangu wala nisingewakataza. Hujaona niliposema hivyo?

Pamoja na hayo, bado msimamo wangu kuhusu albadiri upo palepale. Haipo. Haifanyi kazi. Ni jambo la kufikirika tu.

So there you have it.
 
Pamoja na hayo, bado msimamo wangu kuhusu albadiri upo palepale. Haipo. Haifanyi kazi. Ni jambo la kufikirika tu.

So there you have it.
Tangu mwanzo nimekuelewa. Hoja yangu ni kwamba basi kama taifa tumo kwenye ujinga wa kihalaiki. Maana kama na viongozi wangekuwa wana mawazo kama yako kwamba haifanyi kazi ingekuwa ni kitu rahisi tu, wangeacha isomwe na mwisho wa siku ingejulikana haina madhara.

Kwa nini wametaharuki?
 
Kabla ya kusoma hiyo wathibitishe kwanza kama silaha zilizotumika sio za Tanzania..

Maana nasikia hiyi inatafuna washiriki wote kwa namna zozote walizochangia..
 
Tangu mwanzo nimekuelewa. Hoja yangu ni kwamba basi kama taifa tumo kwenye ujinga wa kihalaiki. Maana kama na viongozi wangekuwa wana mawazo kama yako kwamba haifanyi kazi ingekuwa ni kitu rahisi tu, wangeacha isomwe na mwisho wa siku ingejulikana haina madhara.

Kwa nini wametaharuki?
Hapo wala sina cha kubisha!

Nakubaliana nawe.
 
Wabongo tisa kati ya kumi wanaamini haya mambo.

Wanaogopa labda kuna "amri kutoka juu" ilihusika, jeshi lao likahusika, sas labda al-badr itawapatiliza wote.
Hiyo ni iman tu ila km una hatia hapo kwenye tisa weka wote 10. Mwizi ni mwizi tu. Naomba hii kitu kifanyike ili tujue.
Nimeamini Lissu alipaswa kuwa Raisi, haijawahi tokea hii kwa viongozi
 
Back
Top Bottom