Sheikh aliyesemekana atasoma Alhul badr ahojiwa na kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Muheza

Kasimba G

JF-Expert Member
Jan 19, 2011
3,428
2,609
Nimesikia ati Shekhe mmojawapo Muheza alipigiwa simu na kamati ya ulinzi na usalama kuulizia kuhusu Albadil! nimeona kama sasa nchi inakoelekea sijui! na kuna hofu ya nini huku sisi wananchi tunawaamini viongozi wetu wazuri ni weredi hawawezi kumtuma mtu kuuwa kwa mtutu!

Sasa mwanga unaanza kuonekana na wasiojulikana wanakaribia kujulikana na si zaidi ya wiki wataanza kujulikana nahisi kama hofu hii ipo!

Source: Clouds FM

Salaam!

=======

kisu cha ngariba said:

Shekhe Hilaly ahojiwa na kamati ya ulinzi na usalama baada ya kusemekana atasoma Alhul badr kwa wale wote walioshirikia kumshambulia Mh Tundu Lissu.

Akihojiwa na Clouds Fm, Shekhe Hilaly amekana kuhusika na jambo hilo na kuthibitisha kuwa asubuhi ya leo aliitwa kwenye kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Muheza.

Jahazi Clouds Fm.
 
Duuu kweli wakati mwingine nashindwa kuelewa imani nyingine. Seriously mtu anaaogopa albadir kwamba itamdhuru? Hii ina maana serekali inaoopa mambo ya kiimani ambayo hayana ushahidi wa kisayansi.

Sishangai sana maana kuna viongozi wetu wengi akiwemo mkulu wa sasa walienda kupata kikombe cha babu.

Ndio maana huwa tunasema viongozi wetu wengi wanaamini ushirikina mbali ya kujidai wana elimu kubwa.
 
Nimesikia ati Shekhe mmojawapo muheza alipigiwa simu na kamati ya ulinzi na usalama kuulizia kuhusu Albadil! nimeona kama sasa nchi inakoelekea sijui! na kuna hofu ya nini huku sisi wananchi tunawaamini viongozi wetu wazuri ni weredi hawawezi kumtuma mtu kuuwa kwa mtutu!

Sasa mwanga unaanza kuonekana na wasiojurikana wanakaribia kujurikana na si zaidi ya wiki wataanza kujurikana nahisi kama hofu hii ipo!

source Cloud FM

Salaam!
Serikali haina dini ila Wananchi wake wana Dini....sasa kwanini wakatazwe kuomba Mungu wao ????


Mpaka jumapili Maombi saiv yamepigwa stop ....
54c4d35f8791bb28fd0230c43c6004ce.jpg
 
Nimesikia ati Shekhe mmojawapo muheza alipigiwa simu na kamati ya ulinzi na usalama kuulizia kuhusu Albadil! nimeona kama sasa nchi inakoelekea sijui! na kuna hofu ya nini huku sisi wananchi tunawaamini viongozi wetu wazuri ni weredi hawawezi kumtuma mtu kuuwa kwa mtutu!

Sasa mwanga unaanza kuonekana na wasiojurikana wanakaribia kujurikana na si zaidi ya wiki wataanza kujurikana nahisi kama hofu hii ipo!

source Cloud FM

Salaam!
...eti mnaanza kuuona mwanga...usivunje mbavu zangu please!
 
Nililijua tangu awali,na kama wangesoma wangetimuliwa na mifuko ya cement na kupewa kesi ambayo wakikuhisi wanakuua na sheria ya hiyo kesi inawalinda,
ukizingatia kocha ndio anapenda hivyo.
lakini sheikh kakili kushtakia kwa Mungu! nadhani ni hayohayo! ila kaongea kitafsida!
Duuu kweli wakati mwingine nashindwa kuelewa imani nyingine. Seriously mtu anaaogopa albadir kwamba itamdhuru? Hii ina maana serekali inaoopa mambo ya kiimani ambayo hayana ushahidi wa kisayansi. Sishangai sana maana kuna viongozi wetu wengi akiwemo mkulu wa sasa walienda kupata kikombe cha babu. Ndio maana huwa tunasema viongozi wetu wengi wanaamini ushirikina mbali ya kujidai wana elimu kubwa.
the guilty are always afraid!
 
Shekhe Hilaly ahojiwa na kamati ya ulinzi na usalama baada ya kusemekana atasoma Alhul badr kwa wale wote walioshirikia kumshambulia Mh Tundu Lissu.

Akihojiwa na Clouds Fm, Shekhe Hilaly amekana kuhusika na jambo hilo na kuthibitisha kuwa asubuhi ya leo aliitwa kwenye kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Muheza.

Jahazi Clouds Fm.
 
Yaani hii ni comedy. Ulinzi na usalama wameshindwa kuwakamata wasiojulikana, RAIA wanaamua kutumia njia zao za albadili, ulinzi na usalama wanaingilia kati isisomwe mbadala ya kuwatia moyo waisome ili hilo kundi liangamie!! Sasa hiiiiiii ni kaliiiiiii saaaana. Mi naiunga mkono huu ulinzi shirikishi wa albadili. Itaweka mambo hadharani.
 
Shekhe Hilaly ahojiwa na kamati ya ulinzi na usalama baada ya kusemekana atasoma Alhul badr kwa wale wote walioshirikia kumshambulia Mh Tundu Lissu.
Akihojiwa na Clouds Fm, Shekhe Hilaly amekana kuhusika na jambo hilo na kuthibitisha kuwa asubui ya leo aliitwa kwenye kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Muheza.

Jahazi Clouds Fm.

Polisi bwana wanawasiwasi wa nini??
 
Nimesikia hiyo ishu clouds na mimi, sio kama alipigwa simu, ameitwa katika kamati ya ulinzi na usalama kuhojiwa. nimecheka Kweli niliposikia hivyo, kwani wakisoma tatizo lipo wapi?? Albadir Ikisomwa na kufanikiwa si ndo vizuri inawasaidia kuwapata wahusika wanaowatafuta??? Au wanataka wawatafute wao tu wengine wakiwasaidia kuwatafuta waharifu tena kwa njia nyepesi isiyotumia pesa, haikubaliki. tutatujua tu nani anahusika haiwezi kupita bure
 
Back
Top Bottom