Ungekuwa unamfahamu, nadhani usingesema chochote, sasa hivi niko nje ya tz, huko mtaani anatangaa kwamba nkirud namuoa.....afu watu wote wanamjua tabia zake, nshafatwa na baadhi ya wamama watu wazima na kunionya niachane nae na wanasema inawezekana kaniendea kwa mganga, but hua mi siamini hivyo vitu.
namba hukuomba wewe lakini ukawa wakwanza kugegeda huyo dada anatakiwa kukaza kamba hadi umwoe na degree zako
Bwana mbunda kuna kitu unakimiss kwenye love game..Kama makosa kila mtu yuko huru kutengeneza ila tunatofautiana njia za kutatua. Nina rafiki yangu yeye ni muhadhiri pale UDSM, tena Coet, lakini kwenye mapenzi huwa anakosea kuliko hata hili unaloliona kwangu kama ni kosa lisilonifit. Usomi wangu sio kukwepa makosa ya kidunia bali ni kuyapunguza tu, na hili kwangu ni DARK PASSENGER hua liko kwangu na siwezi kulikwepa na huwa nalificha sipendi kuliongelea. Epuka kudhania kwani kudhania ni maneno ya uongo.. AKSANTEDu!nilijua mtu akisoma anajua ku reason na kufanya mambo sahihi,mahala sahihi na kwa wakati sahihi.Nina mashaka na elimu uliyonayo,na kama mambo ni hayo bac elimu yako ni ktk vyeti tu,bt in your brain bado hujakomboka.Inasikitisha sana!
Miaka mitatu iliyopita nlikua natoka kazini nikiwa na rafiki yangu, tulikua tunatumia gari ya huyu rafiki yangu.
Tulipofika karibu na kwangu rafiki yangu alimwona binti ambaye alikua kavaa skirt fupi sana( mini-skirt).
Jamaa alikua mtu wa wanawake sana hivyo alisimamisha gari na kumwita huyu dada, binti akasogea karibu na gari upande wa dereva ambapo jamaa ndio alikua dereva.
Wakasalimiana then bint akanisalimia pia then akaonyesha kunitambua but mimi sikua namjua. Rafiki yangu akapewa namba ya simu lakini kwa bahati mbaya simu ya rafiki yangu ilikua imezima sababu ya chaji, hivyo alitumia simu yangu.
Then tukaagana na binti jamaa akanifikisha kwangu tukakaa kidogo then yeye akaondoka, alisahau kuhusu ile namba nami pia sikua na habari nayo. kwenye majira ya saa tatu na nusu usiku yule binti akapiga, kwa kua namba haukua imeseviwa nkamuuliza yeye ni nani na anamtaka nani? basi akanikumbusha then akaomba niende anione, mimi nkaenda because sio mbali, nkamkuta ananisubiri, then akaniuliza nlikua nafanya nini nkamjibu nlikua naangalia habari, akaomba aongozane na mimi kuna tamthilia anataka akaitazame.
Baada ya hapo nkatembea nae bila kikwazo, akaondoka zake.
Ikapita siku kama mbili then akantafuta tena , nkamwambia lakini mimi sie niliekusimamisha so, jamaa akijua ataona mimi sio mshkaji mzuri, binti akasema poa tu.
Jamaa akaja kuniulizia ile namba nikampa, akaja kwangu akamcall binti then mie nikaondoka, binti akampa utamu mshkaji.
Baada ya pale jamaa hakumfatilia tena yule binti, mie nikaendeleza game sababu ya ukaribu na urahisi pia, vilevile demu hakua anataka chochote zaidi ya penzi langu.
Tuliendelea na mchezo mpaka ninapoandika waraka huu,
kikwazo ni hiki...katembea na rafiki zangu watatu lakini hao wawili ilikua kabla yangu mimi.
Sasa hivi binti hataki kuelewa kuhusu ilikua game tu kama tulivyokubaliana awali, yeye anataka ndoa. Keshajaribu kunywa sumu mara mbili akanusurika kwa bahati njema.
Binti kaishia form four, mimi nina degree ya pili sasa,
Bint hana mawazo mazuri ya kimaendeleo yeye ni mapenz tu,
Binti kuliwa na mtu sio issue, ni jambo la kawaida saana,
Nikimuudhi yeye anatishia kujiua au anaenda kufanya starehe,
NIPENI MWONGOZO MZURI NA SAHIHI NIKO FLEXIBLE
Mkuu nashukuru pia..Wewe ndio mjinga namba moja, rafiki yako kaja kumtia demu ndani ya gheto lako, muoe ili siku nyingine tuwe tunakuja kumtia hapo hapo nyumbani kwako.
Yeye alijua keshakupa utamu, hata kama aliyeomba namba ni rafiki yako, demu anajua wewe tayari umeshammega, anamegesha tena kwa rafiki yako, tena ndani mwako. Pumbafu kabisa
Mkuu nashukuru pia..
Ila matusi hayatanisaidia kwa muda huu, ni vizur ukatoa ushaur kama ni vigumu ni bora ukasoma na kusahau.
Thanks
Samahani mkuu ikiwa nimetumia maneno makali, ila naomba kuweka sawa neno "Ujinga na upumbav" sio matusi.
Hakika huyu demu hakufai. Ila kuwa makini, usimwache ghafla, anza taratibu, na hata ikibidi, kama umepang, hama huo mtaa na usimwelekeze ulipohamia.
Wasiwasi wangu ni kuwa, Demu atakuwa ameshahamia kwako na mnaishi pamoja kwa muda mrefu. robo tatu ya nguo zake zipo hapo kwako. MAJANGA
japo mimi ni mwanamke lakini siwezi kukushauri kumuoa huyo binti, na si kwasababu ya swala la elimu hapana, elimu haihusiani kabisa na mapenzi ni hizo tabia zake zingine kwa kweli hapana, cha msingi kata mawasiliano na yeye hapo unapoishi kama umepanga hama tena kimya kimya asijue unapoenda kuishi i hope hajui unapofanyia kazi
ya mkuu, huna budi kufanya maamuzi magumu sometimesHa ha ha ha haaaa.....hii kali mkuu
Degree sio kigezo, jinsi anavyo behave mie ndio siwezi. yuko kiswahili sana. mtu wa mitoko mno