She is not my standard

She is not my standard

kwan kujiuwa kitu gani na wewe km humtaki n humtaki tu very simpo jaribu kuwa nae mbali tu heee mwenzangu n aibu hlf bora ucngejua yaan unajua kabisa yaan hata pcha za haruc utaziharibu kwa mnuno...ila njoo kwangu m cmjui hata rafiki yako m1
 
achana naye atakusumbua. mwache ajiue tena itakuwa ni closure nzuri maana hatakusumbua tena!
 
Always maamuzi ya kuoa au lah anayo mwanaume...Jipange mkuu! !
 
Tama huponza mwili na akiri pia,ila jipange mtafutie msala wa kuunda ili yeyd awe nakosa upate namna ya kumuacha na yeyd aendelee kjutia tatizo ulilo mtungi.Pia kama unampenda weka ndan na uwajuze marafiki zako.
 
Tama huponza mwili na akiri pia,ila jipange mtafutie msala wa kuunda ili yeyd awe nakosa upate namna ya kumuacha na yeyd aendelee kjutia tatizo ulilo mtungi.Pia kama unampenda weka ndan na uwajuze marafiki zako.
awajuze ili sasa wale kimyakimya sio maana hawato acha mteremko wao.
 
kwan kujiuwa kitu gani na wewe km humtaki n humtaki tu very simpo jaribu kuwa nae mbali tu heee mwenzangu n aibu hlf bora ucngejua yaan unajua kabisa yaan hata pcha za haruc utaziharibu kwa mnuno...ila njoo kwangu m cmjui hata rafiki yako m1
Taa ya kijani imewaka hapo...hahahaha, but aksante mkuu
 
Kam kumegwa kwake sio issue, mtengenezee fumanizi la uongo na kwel then mmwage..jus simple like dat
 
Ushauri
1. Elimu waka si ishu kivile unaweza kuwa form 4 ukamzidi mwenye digrii 7.
2. Kuhusu yeye kuwa na mgao mshauri apunguze huo udada huruma.
Muhimu sana kuliko hizo pumba hapo juu; Hakuna binadamu iwe ni ke/me aliyekamilika chini ya jua. Shika sana usije ukasahau.
 
Umesema una "digrii mbili sentigredi"?Basi,ndiyo maana kidato cha nne anakusumbua hadi umelia JF mkuu!
 
i hope ulishamwacha huyu bidada na kumove on na maisha

Mie hata sikushauri kuendelea nae ,,yeye anajua kungonoka tu hapa duniani No
 
Nasikitika sana mimi na wewe tunashare huyu dada.

Mi nimekuachia we oa tu, na Ukimuacha mimi na wewe.
 
hilo bomu,hawezi kung'ang'ania ndoa kiasi hicho,ukioa ndio zilee wageni ataotaka waje kwenu ni ndugu zake tu wakija wako atanuna
 
Huyu binti ni very education na mtoa uzi amekaa darasani muda mrefu gidri mbili siyo mchezo. Ushauri ni kuwa anza kusave hela baada ya muda ukajitambulishe kwao then uje uanze vikao vya ndoa. Naahidi kutoa 100,000.
Atakayetoa comment kuwa muachane ashindwee na akakamae akilegea atafanya. Na mwanangu nakujua zaidi ya huyo dada huna dam mwingine au nakosea? Maana wewe ni mtu mnyoofu hata huthubuti kuita mabinti za watu. Kila la kheri mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom