Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,138
Marhabaa mtoto mzuri,hujambo?
Sijambo, shikamoo!!
Marhabaa mtoto mzuri,hujambo?
Sijambo, shikamoo!!
xema wexe, nikixema mie mdada, wataxema mbeax....
Marhabaaa mtoto mzuri!!!!!!!!!
Lakin huoni kama ww ndo uliyekosea toka mwanzo? ulijua kabisa kwamba hujamsimamisha ww, ulijua kwamba elimu yake ni Form 4 na ww una degree 2. Haya muoe sasa maana yeye kakupenda na kama Vp muendeleze kielimu ili asiwaze ngono.
Huku JF hayo maneno uliyoyaandika huwa ni mwiko kuoneka kaandike Facebook kwa watoto wenzio
Huyo hawezi kuungana na nyie
Ananisikiliza sana huyo!
Jipe moyo
Kwani sina moyo?
Ulionao ni mdogo sana!!!
aah wapi its depend na huyo demu yawezekana ajapata pakutulia aiseee.... usimshauri hivyo mimi namshauri aoe tu