Sharobaro Jeshini.

Sharobaro Jeshini.

Majibu ya sharobaro Gmboto lala chini "ntachafuka meen vumbi" panda lori "nasubiri tax meen. Zima simu "naongea na beiby meee"
 
hahahhah!! Hembu nipe hii ilikuwaje .hahah

Sharobaro alipora simu... akawa analia...Jamaa akamwambia "sharobaro kwa nini unaendelea kulia wakati cm imeshaporwa" YEYE AKAJIBU" sililii simu nalilia line meeeen"
 
Sharobaro alipora simu... akawa analia...Jamaa akamwambia "sharobaro kwa nini unaendelea kulia wakati cm imeshaporwa" YEYE AKAJIBU" sililii simu nalilia line meeeen"

hahahahhahahahaaha!! Masharobaro wana vituko kwer kwer
 
Sharobaro alipora simu... akawa analia...Jamaa akamwambia "sharobaro kwa nini unaendelea kulia wakati cm imeshaporwa" YEYE AKAJIBU" sililii simu nalilia line meeeen"

ha ha hahahahahaha!
Au ile anasema heloo mwiz baab, kamata mwizi baab.
 
Mashorobaro walikufa gongo la mboto kutokana na majibu yao. Lala chini bomu hilo "ntachafuka men"
Panda lorry "nasubiri tax men"
Zima simu "naongea na baby men"::mseela::::car::flame:
 
yote tisa kumi ni sharo aliyeenda kwa babu "Lolly on do" na glass ya wine atiliwe dawa yake.
 
yote tisa kumi ni sharo aliyeenda kwa babu "Lolly on do" na glass ya wine atiliwe dawa yake.

juz nlicheka sana nlipoambiwa kuna aliyeenda uko kwa babu,kapewa kombe anywe kakaa kimya,eti babu alipomuuliza vp? Jamaa kajibu,"NASUBIRI MRIJA MEEEN!"
 
Hahahaa its funny na hawa masharobaro.

Ukiwa sharo baro mwenye swaga ambazo sio expensive unaitwa sharouharo.
 
Ahahahaah!! Kweli masharobaro wana vituko....
 
yoooh men..sijazoea mabutiz men nimezoea simple shoes men
Sharobaro kajiunga na jeshi la wananchi, wamekaa mstari kwaajiri ya kukaguliwa gwaride, Afande akamfuata sharobaro akamuuliza ww mbona ujishughulishi, sharobaro akamjibu, Yooh Afande sijazoea mabuti nimezoea SUPRA men!!!!
 
makala464994376e40c.jpg


loliondo nae alikuwemo
 
Hahahaa its funny na hawa masharobaro.

Ukiwa sharo baro mwenye swaga ambazo sio expensive unaitwa sharouharo.

Ha ha ha... Hii vere vere... Kuna maeneo namjua jamaa anajishaua mapensi ya mtumba na maraba yananuka...kweli atakuwa sharouharo...!
 
Back
Top Bottom