Is that a deflated balloon or a human being?..
Yaani unamfananisha Mungu na huyo muanikaji chupi ya Pink?..You gotta be kidding. .Tena mate chini, kila mwanadamu ni sura na mfano wa Mungu.
Yaani unamfananisha Mungu na huyo muanikaji chupi ya Pink?..You gotta be kidding. .
For the first time naona umekuwa upset,...Although it was meant as a joke...Hata mtoa mada hajaongelea mavazi ameongelea umbo au shepu....
Hata comment yako #3 imejiuliza kama huyo ni binadamu au aina gani sijui ya puto hapo ukimaanisha umbo lake au shepu yake hujaelewa vimeundwaje undwaje. ......
Usitukane uumbaji ungali unazaa labda kama umefanya vasectomy...
Am not kidding.... you stop kidding God....
Anyways.... It was just my views you can just ignore them though they will stick in your mind...
Hakuna kitu kizuri kama kujikubali ulivyo, anawaacha wengine ndo wanapata tabu na kuona aibu yeye waalaah anakula ice cream kwa raha zake....
Hadi chupi umeiona? We kibokoYaani unamfananisha Mungu na huyo muanikaji chupi ya Pink?..You gotta be kidding. .