Shangwe za wahitimu wa vyuo 2021 wanaelewa ugumu wa ajira mtaani ?

Wamepitia changamoto nyingi, wana kila haki ya kufrahi aicee..!! Ajira kama watapata au kukosa hiyo ni mipango ya aliyeko juu.
 
Binadamu hupitia hatua mbalimbali katika safari ya maisha yake. Hii ikiwa ni pamoja na hatua za makuzi toka anazaliwa, kwa mfano, mtoto anapoanza kukaa mwenyewe, kutambaa, kusimama na baadae kutembea, hizi ni hatua mbazo kama angekuwa na uelewa katika umri huo angefurahia na kujipongeza. Lakini badala yake wazazi wake ndio hufurahia na kumpongeza/kujipongeza.

Kwa ndugu zetu hawa wajipongeze tu kwani hatua hiyo ni kubwa na muhimu sana katika maisha yao na jamaa zao na jamii kwa ujumla. Kwanza tuangalie la leo, la kesho sisi hatulijuwi, ni Mungu peke yake ndio anaijuwa kesho yako. Habari ya kupata kazi ni jambo lingine, mbona ndege wa angani wanakula na angali hawana mashamba?! Sembuse sisi binadamu!
 
Kila mwaka miezi kama hii hilo swali huulizwa.

Na kaa ujue kila mwaka kuna wahitimu wanaohitimu ila kitaa wamejipanga kuliko unavyodhani, kuna wenye kazi tayari kuna wenye michongo yao kibao na kuna wasio na mbele wala nyuma.

Hiyo ni kila mwaka mkuu, wala huna haja ya kuuliza swali la hivi !!
 
Toka hii Novemba ianze, kila siku tunaona kwenye status za wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini huku wakiwa na nyuso za bashasha , simu nzuri , kujiremba kwa kila aina...kuanzia nywele mpaka kitu.. hongera zao.

Swali langu, je , wanaelewa ugumu wa ajira huku mtaani kwa miaka nenda rudi? Maelfu ya wahitimu kuanzia mwaka 2014 mpk 2020 wapo jobless mtaani na wengi wao wameshasahau mpk taaluma zao. Wamejishikiza kwenye uWakala wa mpesa, Tigopesa na Airtel Money ..

CV haziuziki tena. Bila connection hutoboi.


Kilio cha ajira no janga la kitaifa. Wao furaha wanaitoa wapi?!View attachment 2024148View attachment 2024149
Kutokuwepo ajira mtaani sio sababu ya kuacha kufurahia kuhitimu. Halafu usifikiri Tanzania nzima tuna share wazazi na wewe wengine wazazi wetu wanajua watu bana TUNA CONNECTION
 
😁😁😁
FCZJEXgXIAU_4h5.jpg
 
kuna dogo jirani alikua na heshima sana, kaenda chuo karudi anavaa sendoz na soksi anahisi kamaliza basi dharau nyiingi, namtazama tu.
 
Whatever the case....si bora wa primary kuliko wewe baamedi

Maana yangu ni kwamba, ambao hawajasoma wengiwao ndiyo wenye hella,,, wenye videgree vyao wengi wao wameishia kuajiriwa na waliosoma/wasio na elimu, wengine kukosa makazi na kutegemea wazazi wawalishe na videgree vyao
 
Toka hii Novemba ianze, kila siku tunaona kwenye status za wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini huku wakiwa na nyuso za bashasha , simu nzuri , kujiremba kwa kila aina...kuanzia nywele mpaka kitu.. hongera zao.

Swali langu, je , wanaelewa ugumu wa ajira huku mtaani kwa miaka nenda rudi? Maelfu ya wahitimu kuanzia mwaka 2014 mpk 2020 wapo jobless mtaani na wengi wao wameshasahau mpk taaluma zao. Wamejishikiza kwenye uWakala wa mpesa, Tigopesa na Airtel Money ..

CV haziuziki tena. Bila connection hutoboi.


Kilio cha ajira no janga la kitaifa. Wao furaha wanaitoa wapi?!View attachment 2024148View attachment 2024149
Waache wafurahie accomplishments zao. They will cross the bridge when they reach it.
Ukiwa na wasiwasi sana hata kidogo ulicho nacho huwezi kukifurahia.
 
Watu gani hao ambao hawajasoma wanaongoza uchumi wa dunia hebu twambie

Achana na others countries. Hapa hapa bongo tu, layzer, bahalesa, gaki n.k, wachimbaji wa madini wengi 2uu wameishia praimary na secondary alakini wanahella yakufa mutu. Wenye videgree vyao wanahaha kupata ajila.
 
Yan hata ukiangalia wale watu ambao tunasema ni Top ten madon duniani wamekula shule hatari ! Hakuna mwenye level ya chini ya elimu

Itakuwa wachache munoo, bilgate naye amesoma mkuu?
Watu gani hao ambao hawajasoma wanaongoza uchumi wa dunia hebu twambie

Achana na others countries. Hapa hapa bongo tu, layzer, bahalesa, gaki n.k, wachimbaji wa madini wengi 2uu wameishia praimary na secondary alakini wanahella yakufa mutu. Wenye videgree vyao wanahaha kupata ajila.
 
Toka hii Novemba ianze, kila siku tunaona kwenye status za wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini huku wakiwa na nyuso za bashasha , simu nzuri , kujiremba kwa kila aina...kuanzia nywele mpaka kitu.. hongera zao.

Swali langu, je , wanaelewa ugumu wa ajira huku mtaani kwa miaka nenda rudi? Maelfu ya wahitimu kuanzia mwaka 2014 mpk 2020 wapo jobless mtaani na wengi wao wameshasahau mpk taaluma zao. Wamejishikiza kwenye uWakala wa mpesa, Tigopesa na Airtel Money ..

CV haziuziki tena. Bila connection hutoboi.


Kilio cha ajira no janga la kitaifa. Wao furaha wanaitoa wapi?!View attachment 2024148View attachment 2024149
We waache wenzio acha kuwatisha we jini ninj
 
Watu wanafurahia wamemaliza stress za macourse work malecturers , suala la ajira ni lingine

Wamemaliza chuo mwezi wa saba, mpaka leo miezi kadhaa washaona upepo

Pia kuna wengine walishapata ajira toka first year walikuwa wanasubiri cheti tu,
" We are equal but not similar"
 
Back
Top Bottom