Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,213
- 4,574
Bilgate kapiga shule mkuuItakuwa wachache munoo, bilgate naye amesoma mkuu?
Achana na others countries. Hapa hapa bongo tu, layzer, bahalesa, gaki n.k, wachimbaji wa madini wengi 2uu wameishia praimary na secondary alakini wanahella yakufa mutu. Wenye videgree vyao wanahaha kupata ajila.