GE2025 Shangwe laibuka baada ya Eric Shigongo kuibuka mshindi kura za maoni CCM, jimbo la Buchosa

GE2025 Shangwe laibuka baada ya Eric Shigongo kuibuka mshindi kura za maoni CCM, jimbo la Buchosa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Shangwe latawala mara baada ya Mbunge wa Buchosa aliyemaliza muda wake, Eric Shigongo, kuibuka mshindi katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwania muhula wa pili wa ubunge katika jimbo hilo.

 
Mzee WA hadithi za KWENYE magazeti. Na KILA STORI lazima MTU Aende nchi za NJE. nilisha wahi soma historia yake ya maisha kama ni kweli basi JAMAA kapambana. SEMA Hawa SI WA kuwaamini sana .


Kwishaaaaa
 
Rushwa kaitembeza sana.. Hawa wanasiasa ilifaa wawe interrogation room ya PCCB kwa sasa
 
Du ccm hakika mmekivua chama hakika kweli mbona mie naona aibu mie kweli jamni chama kinaendedwa kwa nguvu ya pesa Rushw
 
Back
Top Bottom