Shangazi yupo hijja.

Shangazi yupo hijja.

Uislamu ni mhuri mwema katika moyo.

Hata kama kuna chembe ndogo ya Uislamu ktk moyo wako, iko siku itachipua na kukufanya urejee katika njia za kheri.

Tufundishe watoto wetu kumjua ALLAH , hata kama watakengeuka sababu ya ujana maji ya moto, ipo siku insha ALLAH ule mhuri wa uislamu ulio katika mioyo yao itawarudisha ktk mstari.
ujue kuwa tuna Mungu wetu aliyetia muhuri mioyoni mwetu, ukituambia habari za uislam hatukuelewi kabisa, tunaona unadanganya tu
 
Hiyo ni moja katika nguzo tano za Uislam. Kila awezae kuhiji anapaswa kuitimiza nguzo hiyo.
Nguzo tano za Uislam ni Shahada, salah, zakah, sawm na hajj.
Nadhani hujaelewa, wengine huwa wanaenda every day? Why kwa huyu iwe special? Matajiri wangapi wanaenda na wanajipost?
 
Uislamu ni mhuri mwema katika moyo.

Hata kama kuna chembe ndogo ya Uislamu ktk moyo wako, iko siku itachipua na kukufanya urejee katika njia za kheri.

Tufundishe watoto wetu kumjua ALLAH , hata kama watakengeuka sababu ya ujana maji ya moto, ipo siku insha ALLAH ule mhuri wa uislamu ulio katika mioyo yao itawarudisha ktk mstari.
Mkuu hii ni kweli Snura alikuwa msanii wa maigizo na muziki yule aliyeimba Chura mpaka wimbo ukafungiwa ila kwa sasa analingania dini

Suma Lee, Kali P wote wamerudi kwa Allah

Hata kijana wetu Diamond pamoja na kuzaa nje ya ndoa ila bado ana uislamu ndani yake , amejenga Nyumba ya Allah

Mwijaku na mambo yake bado anamkumbuka Allah alienda Umrah
 
Mkuu hii ni kweli Snura alikuwa msanii wa maigizo na muziki yule aliyeimba Chura mpaka wimbo ukafungiwa ila kwa sasa analingania dini

Suma Lee, Kali P wote wamerudi kwa Allah

Hata kijana wetu Diamond pamoja na kuzaa nje ya ndoa ila bado ana uislamu ndani yake , amejenga Nyumba ya Allah

Mwijaku na mambo yake bado anamkumbuka Allah alienda Umrah

Hata mwana Hip hop maarufu wa zamani hapa Bongo aitwaye Saigon huwa anaishika dini, anachomoka, kisha anarudi tena. Yaani hivyohivyo.

But all in all Wokovu unatoka kwa ALLAH
 
Mkuu hii ni kweli Snura alikuwa msanii wa maigizo na muziki yule aliyeimba Chura mpaka wimbo ukafungiwa ila kwa sasa analingania dini

Suma Lee, Kali P wote wamerudi kwa Allah

Hata kijana wetu Diamond pamoja na kuzaa nje ya ndoa ila bado ana uislamu ndani yake , amejenga Nyumba ya Allah

Mwijaku na mambo yake bado anamkumbuka Allah alienda Umrah
Aliamdulaha.
 
Back
Top Bottom