Jibu hoja na siyo vioja ..........maca huwa hamvai kitu zaidi ya kujizungusha mashuka.........maana ninyi wenyewe hasa kina mama mlisema mmechoka kupapaswa mkiwa kwenye jiwe jeusi..........yaone uchi uchi tumamako bado anavaa chupi? Mtazame vizuri.
mamako bado anavaa chupi? Mtazame vizuri.Jibu hoja na siyo vioja ..........maca huwa hamvai kitu zaidi ya kujizungusha mashuka.........maana ninyi wenyewe hasa kina mama mlisema mmechoka kupapaswa mkiwa kwenye jiwe jeusi..........yaone uchi uchi tu
Gharama ni kiasi gani kwenda na kurudi pamoja na malazi yote...mtu aandae kiasi gani?Raha ya ibada za Kiislam hazibagui nani wala nani. Kwa Allah mbora ni Mcha Mungu.
Umeleta mama wakati naongea na wewe......au wewe huna uchi?mamako bado anavaa chupi? Mtazame vizuri.
Tofauti kubwa ni kuwa ukristo unawaaminisha waumini wao kuwa ni kondoo wa kungoja kuchungwa na wachungaji wao. Uislam unawaaminisha waumini wao kuwa wao ni binadam wasiohitaji kuchungwa.HIvi tofauti ya waislam na wakristo na waislam ninini
Wewe nipe kwa makadirio, kwan huna experience..Onana na mawakala wa safari za hijja na umra.
Poti wangu Pascal Mayalla Ulishamkubalia Ombi lake? hata kama ni mdogo kwakoFaizaFixyAlhamdulillah, mateka wangu nilimteka miaka 45 iliyopita na bado namlinda usiku na mchana.
Mwakani nakupeleka my sweet wangu, wenye wivu wajinyonge ila wasife
U'njema wake ni nini?!Hata habari njema hizi hujazielewa?
Bado hujanijibu. Ikiwa huyu ni mkristo, na hajawa kuonana na Mungu wala Yesu na ikiwa wewe ni muislam na hujawah kumuona Mungu wa Muhammad tofauti yenu nini? Maana wote mmeprogramiwa. Hakuna mwenye ithibati kuwa hicho anachosema kina ukweli zaid ya kukaririshwa tangu ukiwa mdogo. Wote mmerithi iman. Huyo mmoja angezaliwa saudia angekuwa muislam na mwingine angezqliwa roma angekuwa mkristo. Au na hiz fact mnazikataa piaTofauti kubwa ni kuwa ukristo unawaaminisha waumini wao kuwa ni kondoo wa kungoja kuchungwa na wachungaji wao. Uislam unawaaminisha waumini wao kuwa wao ni binadam wasiohitaji kuchungwa.
Utajaza mwenyewe.