Shangazi yupo hijja.

Shangazi yupo hijja.

Uislamu ni mhuri mwema katika moyo.

Hata kama kuna chembe ndogo ya Uislamu ktk moyo wako, iko siku itachipua na kukufanya urejee katika njia za kheri.

Tufundishe watoto wetu kumjua ALLAH , hata kama watakengeuka sababu ya ujana maji ya moto, ipo siku insha ALLAH ule mhuri wa uislamu ulio katika mioyo yao itawarudisha ktk mstari.
Mama yetu dini gani? Au hana dini huyu?
 
Ila wasinge kuja kufanya biashara ya kuuza watumwa wasinge leta hizi imani.
Hata wale weupe walikuja kama wamisionali kumbe wanataka malighafi.

Dini ni imani ya tamaduni fulani kila jamii huwa na imani ya kidini.ndio mana kuna vitu vinazungumziwa watu wa kabila la yuda,yonah,wakholinto,walawi kwa mila na makabila yao.
Nawengine wakamzungumzia Muhammad na washwahiba wake.ili elimu hiyo iendelee katika mila na utamaduni wao.
Hata africa waliishi hivyoo.
Mfano waislamu na tamaduni yao huko uarabuni wana imani ya kuchinja (mnyama)
Wayahudi pia na hata naadhi ya mila za kiafrica kiimani hufanya hivyo.
Nikwamba wenzetu walijiongeza kuja kwetu ila kama africa ingeenda kwao inge walazimisha na kulisisha imani.
 
Mkuu hii ni kweli Snura alikuwa msanii wa maigizo na muziki yule aliyeimba Chura mpaka wimbo ukafungiwa ila kwa sasa analingania dini

Suma Lee, Kali P wote wamerudi kwa Allah

Hata kijana wetu Diamond pamoja na kuzaa nje ya ndoa ila bado ana uislamu ndani yake , amejenga Nyumba ya Allah

Mwijaku na mambo yake bado anamkumbuka Allah alienda Umrah
Kama mzee Yusuph nae
 
Back
Top Bottom