Shangazi yupo hijja.

Shangazi yupo hijja.

Uislamu ni mhuri mwema katika moyo.

Hata kama kuna chembe ndogo ya Uislamu ktk moyo wako, iko siku itachipua na kukufanya urejee katika njia za kheri.

Tufundishe watoto wetu kumjua ALLAH , hata kama watakengeuka sababu ya ujana maji ya moto, ipo siku insha ALLAH ule mhuri wa uislamu ulio katika mioyo yao itawarudisha ktk mstari.
MARA NYNG ALAH NI KATILI
 
Tofauti kubwa ni kuwa ukristo unawaaminisha waumini wao kuwa ni kondoo wa kungoja kuchungwa na wachungaji wao. Uislam unawaaminisha waumini wao kuwa wao ni binadam wasiohitaji kuchungwa.

Utajaza mwenyewe.
Uislamu mbona una kiongozi ambae ni Mohammad ambae kila muumini lazima amswalie?
 
Back
Top Bottom