Shame on you ITV tuwasusie hawa

Shame on you ITV tuwasusie hawa

Kumbe hapa ni mvutano tu wa kisiasa hakuna utaifa maana chuki zipo wazi kabisa,kuna wengine hawajifichi kabisa
 
SAFI SANA ITV! Biashara yenu ya kutafuta coverage kwa damu za watu imeshtukiwa! CDM tafuteni mbinu nyingine! Hata Cardinal Pengo ali-hint hili kwenye lile tukio la kwanza la bomu la Arusha!

Unatumia akili au makalio kuingia humu ndani???? Ina maana hujajua kuwa nyinyiem walikwisha panga tukio?? Kwa taarifa yako hata kiongozi wa akina mama amefariki,tena lile sio bomu ni risasi
 
Kwani hivyo vyombo vya habari vina ulazima vitangaze hizo habari tunazozitaka sisi? Au kwakuwa zimetuhusu sisi chadema?hakuna ulazima km vp wenzetu wana vyombo vyao gazeti uhuru na redio uhuru na sisi tutafute vya kwetu maana wengine hasira hd wanatoa kipovu cha mdomo,hakuna ulazima watu waliokufa tuwaombee na majeruhi pia tuwaombee.
 
Kwani hivyo vyombo vya habari vina ulazima vitangaze hizo habari tunazozitaka sisi? Au kwakuwa zimetuhusu sisi chadema?hakuna ulazima km vp wenzetu wana vyombo vyao gazeti uhuru na redio uhuru na sisi tutafute vya kwetu maana wengine hasira hd wanatoa kipovu cha mdomo,hakuna ulazima watu waliokufa tuwaombee na majeruhi pia tuwaombee.
Iliwezaje kupata Superbrand na sio uhuru fm,mawingu tv,tbccm
 
Kweli kilichofanywa na ITV si uungwana hasa ukizingatia inamilikiwa na R.Mengi anayejitangaza kuwa anahuruma na watanzania sasa ipi muhimu siasa za Nape na Lowassa au watu walijeruhiwa na Bomu Arusha. ITV iangalie tukigundua inatoa matangazo kishabiki tutaisusa kama TBC 1, Star TV na Channel Ten.
 
nakukosoa kama ifuatavyo,arusha ni moja kati ya ngome za chadema, sasa inakuaje tena chadema wafanye tukio kama hilo? waziri mmoja kule zanzibar wa afya aliwahi kusema kwamba haiwezekani watoto wetu,wazee wetu na ndugu zetu tuwalishe mavi.hii ilikuwa ni wakati fulani wa uchaguzi kule zanzibar cuf ilipopakwa matope kwamba wameweka mavi kwenye visima vya maji ya kunywa na cha kushangaza katika wilaya hiyo cuf ikashinda sasa jiulize je cuf ndiyo waliweka mavi visimani?je ni kwanini walishinda?hizi siasa za kupakana matope ni siasa zilizopitwa na wakati.uelewa wa watu sasa ni mkubwa sana huwezi kuwaburuza watu muda wote tuu haiwezekani, haki hucheleweshwa lakini kupatikana ni lazima ipatikane tu.
 
Jamani nyie hebu tuwe na uelewa na sio kujiropokea tu,sio kila tukio likitokea litolewe hapo hapo,na sio utakachokiskia tu ukitangaze bila kuthibitishwa,angalieni tukio likitokea muda gani?na je kulikuwa na mwandishi gani muda huo??kawaida habari lazima ieditiwe,angslia muda wa tukio na mwandishi gani angeweza muda ule kutuma habari kisha waiedit kisha iwekwe hewani,kila mmoja na kazi yake usione kazi ya mwenzio nyepesi ya kwako ukaiona ngumu,tukio lilitokea muda dhiki sana kwa habari kuwezwa kutumwa ukizingatia na uzito wa habari,tusiwe washabiki tu jamani ikibidi na sisi chadema tuwe na vyombo vyetu km wenzetu ccm.
 
acha matus

Matus tena! kuna matus gani hapo? hiv mlikuw hamjui kwamba huo ujanja wenu wa kijinga tayar umeshastukiwa? achen kutuhadaa wananchi, kwan matendo yenu hayana tofaut yoyote na MAGAMBA
 
Matus tena! kuna matus gani hapo? hiv mlikuw hamjui kwamba huo ujanja wenu wa kijinga tayar umeshastukiwa? achen kutuhadaa wananchi, kwan matendo yenu hayana tofaut yoyote na MAGAMBA


waambie waache haooooooo,waambie mkuu
 
Bora ungesema kuhusu TBC leo miez 3 hamna kitu daily signal week ila ITV ipo hewani kama kawa!
 
Kwenda zako huko, kama mpigaji nenda kaanzie kw padr Slaa aliyewashikia akili zenu maana hamna tofaut na mijibwa ya polisi!
Kudadeki.....+¤/&#"!?`^*:; dogo dodo unaleta utani. Bwe..ge sana wewe, naona unalipwa na dogo nape na muuaji mwigulu
 
Hivi hii ITV bado inaongozwa na huyu Mama aliyemaliza mayai ya Uzazi kwa kukurupua mimba huyu nanihii!!!
 
Back
Top Bottom