mkuu inawezekana vyombo vingi vya habari vya tanzania vimewastukia CHADEMA kuwa mnafanya matukio ili mpate coverage yao. labda mjipange upya kwa mbinu zingine.
Kujifanya unamawazo ya kifikra kumbe na wewe mbululu eti unajiita walcote, mwehu mkubwa wewe.