Shalobaro wa Ukweli

Shalobaro wa Ukweli

Spear_

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
1,828
Reaction score
1,318
View attachment 37164

Huyu dogo kama ni ushalobaro kazidi....

Huo mwendo ananikumbusha tukiwa watoto ilikuwa ukitoka kuangalia movie kali basi unatoka hapo na wewe unataka kufanya kama kina Rambo...Van Damme.... Solo.....

Hapo dogo natembea (slow) kama Rambo akisubiri bomu lilipuke...huenda anasema iyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Wewe ukiwa mdogo ulikuwa unapenda movie gani??
 
du huyo charii ni noma tena zaid ya sharolilo ni ganster na akikuwa atakuwa movie star
 
charii kanivunja mbav u kwel ni sharobaro legend na atakuja kuwa noma zaid ya hata mashoriro wenyewe
 
oooooooooooooooh sometimes unawish uwemdogo manake vituko vyakeeeeeeeeeeee! mpaka raha..
 
Jack chen mmh whuhwa yuuuuuuuuuu hoooooooooooooooo
 
Mimi movie nilipenda sana ya kwanza ilikuwa SIASA NI KILIMO baadae 007 ya James Bond
 
Mimi nilikua napenda American ninja 5 duuh!!
Dogo amenifurahisha vile alivyo vaa hicho kibarakatu chake kama ma mwinyi wa Bwagamoyoo.......hahahahaaaaaaa...
 
Back
Top Bottom