teh te hteh mkuu unichekesha sana!! tulikuwa tunamwita commando peku peku....
Hapo dogo anajifanya Anold Schwazneger anaita 'Jeniiiii...'
wewe nini mkuu pindi ukiwa mtoto?
aaaaahahahaaaa mwanangu umenikumbusha mbali kinoma yani...! jamaa alivyokua anaingia kwenye rum anamuita... hey stanley.. stanley halafu kumbe anord kajificha nyuma ya mlango anamgusa jamaa alivyogeuka alipewa kitu cha kufa mtu....! aaaaahaaa masawee hahahaha..!teh te hteh the in Schwarzenegger Commando!! unamkumbuka yule black (massawe...)
Akiwaskia mnamwita Sharobalo mtauona moto wake; Huyo Enzi zile tunamwita MSELA NONDO! Enzi za kuvaa "tafu buti" ndefu imechanua ulimi, Jeans kubwa juu chini imetait, Dogidogi imefngwa kishkizo kimoja cha juu tu; bila kusahau leso inaning'inia mfuko wa Nyuma. Dogo ni "G"! Siyo watoto wa siku hizi "walaiiini" akiguswa tu "anageuza mgongo"! aaaaaaaaaaaaaaaargh!