Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,475
- 608
Watanzani wamekuelewaShaka : TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? | CCM haitakubali watanzania walioko maeneo ya hifadhi kuishi Kama wakimbizi kwenye nchi yao,
|Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu yanayowahusu wakala wa misitu Tanzania (TFS) kupiga wananchi wetu hadi kuwavunja miguu kwa kisingizo cha kuwakamata na mkaa au kuwabambikizia kesi zisizo na msingi wowote wa kisheria,Kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho, Serikali ya Mama Samia imejipambanua tusimamie sheria bila kuleta mateso|manyanyaso na hata udhalilishaji uliopitiliza|
|Chama Cha Mapinduzi kitamuelekeza Waziri Wa Maliasili na Utali Dk Ndumbaro juu ya kadhia hii, Vijana wake wakishawamaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? Nyakati zote Rais Samia amekuwa akisimama na Wananchi wake kamwe hatuwezi kufumbia macho uchonganishi huu kwa kisingizio eti kuvunja sheria|
|CCM haitakubali kuona wananchi kwenye maeneo ya hifadhi ya misitu wakiishi kama wakimbizi katika kwenye nchi yao. TFS acheni uonevu na unyanyasaji wa wananchi wanaopakana na misitu hususan hapa Jimbo la Ushetu| alisema Shaka
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Kahama Kampeni CCM.
View attachment 1968067
View attachment 1968068
View attachment 1968070
View attachment 1968071
View attachment 1968072
View attachment 1968074
Naungana na wewe 100% kwenye hiliHakuna kama Samia
Comment Of the dayHakuna kama Samia
Sasa ulitaka ajoin lini?Joined May 2021 , after Magufuli Death
Hata Mimi namshangaa sanaSasa ulitaka ajoin lini?
Naweza kumtaja majina yote matatu halafu ukajikuta unafuta post yako kwa aibu , bali sheria za jf zinanibanaSasa ulitaka ajoin lini?
Njaa mbaya sana !Hakuna kama Samia
Huna lolote na hivyo vitisho vyako uchwara.Naweza kumtaja majina yote matatu halafu ukajikuta unafuta post yako kwa aibu , bali sheria za jf zinanibana
Sifa kubwa ya masikini ni kutokujaliHuna lolote na hivyo vitisho vyako uchwara.
Ok.Sifa kubwa ya masikini ni kutokujali
Tangu lini CCM ikawa na huruma ukiona hivyo ujue kuna kitu wanaomba!!Shaka : TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? | CCM haitakubali watanzania walioko maeneo ya hifadhi kuishi Kama wakimbizi kwenye nchi yao,
|Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu yanayowahusu wakala wa misitu Tanzania (TFS) kupiga wananchi wetu hadi kuwavunja miguu kwa kisingizo cha kuwakamata na mkaa au kuwabambikizia kesi zisizo na msingi wowote wa kisheria,Kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho, Serikali ya Mama Samia imejipambanua tusimamie sheria bila kuleta mateso|manyanyaso na hata udhalilishaji uliopitiliza|
|Chama Cha Mapinduzi kitamuelekeza Waziri Wa Maliasili na Utali Dk Ndumbaro juu ya kadhia hii, Vijana wake wakishawamaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? Nyakati zote Rais Samia amekuwa akisimama na Wananchi wake kamwe hatuwezi kufumbia macho uchonganishi huu kwa kisingizio eti kuvunja sheria|
|CCM haitakubali kuona wananchi kwenye maeneo ya hifadhi ya misitu wakiishi kama wakimbizi katika kwenye nchi yao. TFS acheni uonevu na unyanyasaji wa wananchi wanaopakana na misitu hususan hapa Jimbo la Ushetu| alisema Shaka
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Kahama Kampeni CCM.
View attachment 1968067
View attachment 1968068
View attachment 1968070
View attachment 1968071
View attachment 1968072
View attachment 1968074
CCM imekuhurumia mara ngapi wewe hata kuandika kwako comment ni CCM iliyokupa elimu,Tangu lini CCM ikawa na huruma ukiona hivyo ujue kuna kitu wanaomba!!
Unataka wajali nini?Sifa kubwa ya masikini ni kutokujali
Tangu lini CCM ikawa na huruma ukiona hivyo ujue kuna kitu wanaomba!!Shaka : TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? | CCM haitakubali watanzania walioko maeneo ya hifadhi kuishi Kama wakimbizi kwenye nchi yao,
|Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu yanayowahusu wakala wa misitu Tanzania (TFS) kupiga wananchi wetu hadi kuwavunja miguu kwa kisingizo cha kuwakamata na mkaa au kuwabambikizia kesi zisizo na msingi wowote wa kisheria,Kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho, Serikali ya Mama Samia imejipambanua tusimamie sheria bila kuleta mateso|manyanyaso na hata udhalilishaji uliopitiliza|
|Chama Cha Mapinduzi kitamuelekeza Waziri Wa Maliasili na Utali Dk Ndumbaro juu ya kadhia hii, Vijana wake wakishawamaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? Nyakati zote Rais Samia amekuwa akisimama na Wananchi wake kamwe hatuwezi kufumbia macho uchonganishi huu kwa kisingizio eti kuvunja sheria|
|CCM haitakubali kuona wananchi kwenye maeneo ya hifadhi ya misitu wakiishi kama wakimbizi katika kwenye nchi yao. TFS acheni uonevu na unyanyasaji wa wananchi wanaopakana na misitu hususan hapa Jimbo la Ushetu| alisema Shaka
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Kahama Kampeni CCM.
View attachment 1968067
View attachment 1968068
View attachment 1968070
View attachment 1968071
View attachment 1968072
View attachment 1968074
Sijawahi kupata elimu ya ccm katika maisha yangu na sitaipata mbwa wewe!!CCM imekuhurumia mara ngapi wewe hata kuandika kwako comment ni CCM iliyokupa elimu,
Duuuh mimi mbwa tena, Ila karibu CCMTangu lini CCM ikawa na huruma ukiona hivyo ujue kuna kitu wanaomba!!
Sijawahi kupata elimu ya ccm katika maisha yangu na sitaipata mbwa wewe!!
Hahaha Chadema unateseka kwanini njoo CCMJoined May 2021 , after Magufuli Death
ShakaShaka : TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? | CCM haitakubali watanzania walioko maeneo ya hifadhi kuishi Kama wakimbizi kwenye nchi yao,
|Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu yanayowahusu wakala wa misitu Tanzania (TFS) kupiga wananchi wetu hadi kuwavunja miguu kwa kisingizo cha kuwakamata na mkaa au kuwabambikizia kesi zisizo na msingi wowote wa kisheria,Kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho, Serikali ya Mama Samia imejipambanua tusimamie sheria bila kuleta mateso|manyanyaso na hata udhalilishaji uliopitiliza|
|Chama Cha Mapinduzi kitamuelekeza Waziri Wa Maliasili na Utali Dk Ndumbaro juu ya kadhia hii, Vijana wake wakishawamaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? Nyakati zote Rais Samia amekuwa akisimama na Wananchi wake kamwe hatuwezi kufumbia macho uchonganishi huu kwa kisingizio eti kuvunja sheria|
|CCM haitakubali kuona wananchi kwenye maeneo ya hifadhi ya misitu wakiishi kama wakimbizi katika kwenye nchi yao. TFS acheni uonevu na unyanyasaji wa wananchi wanaopakana na misitu hususan hapa Jimbo la Ushetu| alisema Shaka
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Kahama Kampeni CCM.
View attachment 1968067
View attachment 1968068
View attachment 1968070
View attachment 1968071
View attachment 1968072
View attachment 1968074