Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 1,448
- 1,003
Chawa kindakindaki wa Rais Samia,, njaa mbaya sana
Mbona hata wewe ni Chawa wa Mbowe??!Chawa kindakindaki wa Rais Samia,, njaa mbaya sana
Hawa hawakawii kugeuza maneno awamu nyinginezo!
Utaskia, awamu ya sita , serikali ilikuwa inakopa sana na kuwakandamiza wananchi Tozo zilizo nje ya uwezo wao, for sure,, time will tell
Ndugai na polepole ni wapanzani kumbe, mpuuzi mmoja we.Tanzania inakwenda vizuri hao wapinzani wanaotegemea Rais Samia atakwama watasubiri mno,
Kwani wewe unalipwa mkuu?!Hivi vipeperushi kupost kimoja unakula bei gani?
Mim always Nasimamia Haki, sipend na nachukia sana kuona mtu akionewa ,,,Mbona hata wewe ni Chawa wa Mbowe??!
FafanuaMim always Nasimamia Haki, sipend na nachukia sana kuona mtu akionewa ,,,
Uonevu ni kazi ya shetani,,, shetani hajawah kukubalika katika jamii zote Duniani,,,
Mbowe anavyochota pesa za ruzuku na kupeleka kwenye familia yake huko siko kuonea wanachama wengine?Mim always Nasimamia Haki, sipend na nachukia sana kuona mtu akionewa ,,,
Uonevu ni kazi ya shetani,,, shetani hajawah kukubalika katika jamii zote Duniani,,,
Weka ushahidi hapa hewan,, pia mim Sina chama,, Wala si mwanachama wa chama chochote kileMbowe anavyochota pesa za ruzuku na kupeleka kwenye familia yake huko siko kuonea wanachama wengine?
Nenda pale makao makuu Ufipa watakupa ushahidi mkuuWeka ushahidi hapa hewan,, pia mim Sina chama,, Wala si mwanachama wa chama chochote kile
Lowasa alivyoingia CHADEMA nilipinga na kura nkampa Magu, so sifungani na chama chochote ndg
Bado sijaamini kwamba huyu ndio waliomwamini.ana maana gani kusema mfumo dume
Nadhani umepata majibu janaana maana gani kusema mfumo dume