Tatzo ni kwamba hao wenyewe hapo na ndgu zao wanauhitaji wa hyo mikopo na si maskini waache ndugu na wanao wafahamu wawape masikini.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Good boss, Shaka amekuwa mtulivu sana na mtu mfikiri masikini wakati wote,Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndg. Shaka Hamdu Shaka Jumanne
26 Oktoba, 2021 ametembelea Ofisi za Bodi ya Mikopo ya wanafunzi elimu ya Juu zilizopo maeneo ya Tazara Wilaya Temeke Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na viongozi na watendaji wa bodi hiyo.
#ChamaImara
#KaziIendee
View attachment 1987465
View attachment 1987470
Hii habari wewe umeitoa wapi?Kawapelekea ilani ya chama na majina ya tu uvccm tudogo tudogo kupate mkopo, badala ya kuacha heslb kufanya kazi kwa KPI zao
Nimecheka kwa sautiLakini Huyu Jamaa anajitahidi kufanya Mambo yenye Mashiko
Sio Kama Kale Kazee Kachawi ka Chakubanga
Hongera sana. Ilani inatekelezwa 100%
Hii habari wewe umeitoa wapi?
Hebu weka huo ushahidiKatibu mwenezi ccm dar
Kwanza wazazi wenye pesa ndio walipa kodi. Mkopo ni haki ya kila mwanafunzi wa elimu ya juu.Ule ni mkopo na unatokana na kodi za wenye pesa na wasio nazo,
Unapaswa kupigania wote mmpate sio kutaka wenzio wakose upate wewe
Inawezekana kote kasoma Wazazi wakiwa na pesa na kafika chuo kikuu wazazi hawana pesa au wanasogeza wadogo zake ambao nao wamefikia kiwango cha kwe da Shule
Umaskini na unyonge sio tiketi ya kutaka kila haki ya Serikali kwa Raia ianzie kwako
Hapa ndio wengi hukosea. Kigezo cha kutompa mtu mkopo kisiwe alisomaje huko nyuma bali kama kwa sasa damilia yake inajiweza kumsomesha.Ule ni mkopo na unatokana na kodi za wenye pesa na wasio nazo,
Unapaswa kupigania wote mmpate sio kutaka wenzio wakose upate wewe
Inawezekana kote kasoma Wazazi wakiwa na pesa na kafika chuo kikuu wazazi hawana pesa au wanasogeza wadogo zake ambao nao wamefikia kiwango cha kwe da Shule
Umaskini na unyonge sio tiketi ya kutaka kila haki ya Serikali kwa Raia ianzie kwako
Hii na ile ya polepole ya kuwaambia vijama waende lumumba na kadi zao za ccm alafu akawaombee mikopo ipi ni sahihi.
Ujanjaujanja Umerudi Tena Kwa Kasi Sana
Maboss hao wa mikopo wamenonaa kweri kweriKATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA, ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA, ATUA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ndg. Shaka Hamdu Shaka Jumanne
26 Oktoba, 2021 ametembelea Ofisi za Bodi ya Mikopo ya wanafunzi elimu ya Juu zilizopo maeneo ya Tazara Wilaya Temeke Jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na viongozi na watendaji wa bodi hiyo.
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeielekeza Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), kuendelea kutoa kipaumbele kwa kundi la watoto masikini na wenye mahitaji maalumu wenye vigezo vya kunufaika.
Pia, kimeipongeza bodi hiyo kwa kazi nzuri inayoifanya ya kuwafikia wanafunzi, huku ikisema ongzeko la marejesho ya mikopo kutoka kwa wanufaika kulikotokana na uamuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kufuta Kodi ya ongezeko la zuio kwenye Mikopo ya elimu ya Juu (Retention fee), ni kielelezo cha ufanisi.
Hayo yalielezwa jana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, alipotembelea HESLB kuona jinsi inavyofanya kazi.
Shaka alieleza kuwa, Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 ibara ya 80 (h) inasema serikali itaimarisha na kuboresha mfumo wa ugharimiaji wa elimu ya juu ikiwemo bodi ya mikopo ya Juu, ili kuhakikisha wanafunzi wengi zaidi wenye uhitaji na sifa stahiki wanapata fursa ya kujiunga na elimu ya juu.
Alisema Rais Samia ameonyesha dhamira ya dhati kuhakikisha wanafunzi wanapata fursa ya kusoma ambapo, ameongeza mkopo wa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka sh bilioni 464 hadi sh. bilioni 570.
#ChamaImara
#KaziIendee
View attachment 1987798
View attachment 1987799
View attachment 1987801