mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,585
- 11,260
- Thread starter
- #41
AminaaaaaaMashairi mazuri mnooo Demi mpe nafasi ndugu yetu.
AminaaaaaaMashairi mazuri mnooo Demi mpe nafasi ndugu yetu.
nipe lau kidogo mwenzio nijilembuweMashairi matupu?😏
Mwambie shemeji marafiki zako tuna njaa hatujala 🤣🤣🤣Sanaa
Baby mtwa mkulu mashemeji zako wana njaa, hata mimiMwambie shemeji marafiki zako tuna njaa hatujala 🤣🤣🤣
Jiongeze..mwagilia moyo na roho yangunipe lau kidogo mwenzio nijilembuwe
baby hayo mahaba Niue mbona ya kizazi kipyaBaby mtwa mkulu mashemeji zako wana njaa, hata mimi
Mie sio wa kizamani hata kidogo. Pambanababy hayo mahaba Niue mbona ya kizazi kipya
Hatimaye mwenzaRekebisha hapo kwenye miss weka bibi. Kupendwa raha lakini, asanteeee



Mapema yote hii hata hajui kama ombi limekubaliwa auMwambie shemeji marafiki zako tuna njaa hatujala![]()


Shunie si ndivyo tulikubaliana kwenye kikao cha wanawake.... mwanamke bongo ukitongozwa tu njaa inauma, simu inaharibika, nywele zinafumuka, kodi inaisha, gas inaisha😁😁Mapema yote hii hata hajui kama ombi limekubaliwa au![]()
Baada ya kusota bench muda mrefu🤣Hatimaye mwenza![]()
Na kichwa kinauma🤣Shunie si ndivyo tulikubaliana kwenye kikao cha wanawake.... mwanamke bongo ukitongozwa tu njaa inauma, simu inaharibika, nywele zinafumuka, kodi inaisha, gas inaisha😁😁
Na bando linaishaNa kichwa kinauma🤣
Shunie si ndivyo tulikubaliana kwenye kikao cha wanawake.... mwanamke bongo ukitongozwa tu njaa inauma, simu inaharibika, nywele zinafumuka, kodi inaisha, gas inaisha![]()



Yaani tunakuwa yatima ghafla
Baada ya kusota bench muda mrefu![]()


Mungu wetu hachelewi wala hawai hatimaye umeanzishiwa thread yakokwakuwa mahaba kipigo ni radhi kinisumbuwe, nadata kwa yake mapigo, yote mimi anituweShunie si ndivyo tulikubaliana kwenye kikao cha wanawake.... mwanamke bongo ukitongozwa tu njaa inauma, simu inaharibika, nywele zinafumuka, kodi inaisha, gas inaisha😁😁
Mmh we shemeji marafiki wa baby wako hatukuelewi kabisa, yani hatujakuelewa....kwa mwendo huu tukimwaga sumu humu penzini usituone wangakwakuwa mahaba kipigo ni radhi kinisumbuwe, nadata kwa yake mapigo, yote mimi anituwe
ndo mana nilimwambia asikushtueMmh we shemeji marafiki wa baby wako hatukuelewi kabisa, yani hatujakuelewa....kwa mwendo huu tukimwaga sumu humu penzini usituone wanga