shairi

A shairi (Georgian: შაირი, pronounced [ʃairi]), also known as Rustavelian quatrain, is a monorhymed quatrain used by Shota Rustaveli in The Knight in the Panther's Skin.
It consists of four 16-syllable lines, with a caesura between syllables eight and nine. While there are stanzas with as many as five syllables rhyming, generally shairi uses either feminine or dactylic rhyme. It is worth noticing that despite the feminine and dactylic forms of rhyme, Georgian shairi’s stress is very weak due to the nature of the Georgian language, which is characterized by dynamic and very weak stress placed on antepenultimate syllable in words longer than two syllables and on penultimate in two-syllable words.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    SHAIRI LA WAFANYAKAZI KABLA YA MEI MOSI 2024

    EWE KIKOKOTOO NI NANI? 1:Nauliza Mimi ,Ebu nipeni majibu, Kikotoo kinajaliwa,Hakipati Majibu, Ewe Kikokotoo ni nani? 2:Watu wanakufa, Wanapooza, Hutaki kujibu,huna Huruma, Ewe Kikokotoo ni nani?. 3: Kikokotoo umekuwa Sugu, hujadiliki,Hutaki suluhu, Ewe Kikokotoo ni nani? 3:Ajira imekuwa...
  2. Waziri wa madini

    Ongezeko la mashoga ni laana kwa taifa au athari ya utandawazi?

    Kumekuwa na kukithiri kwa tatizo la ushoga ktk jamii yetu licha ya viongozi wa dini na serikali kufanya jitihada za kukemea matendo hayo,lakini kila uchwao ktk mitandao na ktk jamii vijana mashoga(sio ridhki )wamekuwa wakiongezeka tena kwa kujitangaza na kujivunia ushoga wao. Nafikiri wakati...
  3. M

    SHAIRI: Ukithamini urembo mambo yatakwenda kombo

    SHAIRI..UKITHAMINI UREMBO MAMBO YATAKWENDA KOMBO 1.Maisha yetu ni fumbo jaribu kufanya jambo. Unapozeeka umbo, kumbuka kuacha nembo Dunia hii ulimbo, usije kufanywa chambo. Ukithamini urembo,Mambo yataenda kombo. 2.Ukithamini urembo, mambo yataenda kombo Tutakuimbia nyimbo, umeimaliza mbombo...
  4. M

    SHAIRI

    KUPOTEZEA 1.Kupotezea ni neno, rahisi kulitamka Lakini lina vinono, kulikoni kuwa taka Linavunja mvutano, huziba palotoboka Kama una jambo baya, potezea litapita 2. Kama una jambo baya, potezea litapita Watakuona ni boya, badae hutajajuta Potezea bila haya, mbele yako utapeta Kama una jambo...
  5. M

    Shairi: Swali juu ya mabadiliko ya wajawazito

    SWALI JUU YA MABADILIKO YA WAJAWAZITO 1. Leo nakuja na swali, msione la kitoto Linahusika na mwili, wamama wajawazito Ni swali gumu ukweli, linaleta tumbo Joto Hivi nini kinajili, kipindi cha huu wito 2. Hivi nini kinajili, kipindi cha huu wito Mabadiliko ya hali, awapo ndani mtoto Usipokuwa...
  6. M

    SHAIRI: Janga la kubeti

    SHAIRI JANGA LA KUBETI 1. Kipo kilio cha wazi, kingine kimefichika Mfano kuchunwa buzi, huwezi wazi kuweka Kwetu kama fumanizi, kilio kimetufika Kubeti nalo ni janga, limeteka watu wengi 2. Kubeti nalo ni janga, limeteka watu wengi Watu waishiwa mwanga, kama walao milungi Mwovu katupiga...
  7. DR Mambo Jambo

    Shairi: Swala la Umeme na Bunge wahenga wanasema "Mwerevu akivuliwa Nguo hasimami Huchutama"

    Mwerevu akivuliwa Nguo hasimami Huchutama"(Mmetupunguza Ubongo,Mnatuchuza Hadharani) Achutama zivukapo, mwerevu zake 'zo Nguo, Kuinama aketipo, soniye ndio chaguo, Tena hata aitwapo, huitika kwa rudio, Mmetupunguza Bongo, mwatuchuza Hadharani. Mwatuchuza Hadharani, mmetupunguza Bongo, Wengine...
  8. nentewene

    Tungo: Ua langu jamani...

    Ua langu limechumwa- bila mimi kujua.. Moyo wangu unauma- natamani kujiua.. Amekosa huruma- ua langu kunyakua.. Hivi nan kamtuma- leo hii naugua.... Ua lilinawairi- kila mtu alidata.. Haikua tena siri- ua lilitakata.. Uzuri wake wamwili- vigogo walimtaka. Utamu wake samsuri- watu wakamteka...
  9. nentewene

    Tungo: Mapenzi ni Pesa

    Mapenzi ya leo pesa..usikubali kudanganywa, Usipo kua na pesa..mapenzi yatakuchanganya, Yaani bila hata kupepesa..mke utanyang'anywa. Kama bado huna pesa, hebu anza kupambana, Tena acha kujichosha, kutafuta vimwana, Tafuta iyo pesa, uepuke kutukanwa, Ukishafanikisha, utakula walo nona...
  10. Uhakika Bro

    Msaada: Tafsiri ya shairi zuri kutoka katika lugha ya kisukuma kuwa kiswahili

    Ndugu zangu kuna Msukuma anakijua vizuri zaidi basi please: Umo wing'we anambeleje kutafsiri Lugano lwenulu na mambo gose du. Tusaidiane tafadhali wasukuma. Nitumie tafsiri yake kupitia 0734189022 tafadhali The DEDE legend: Sukuma tradition ""Lugano lwa DEDE, lwa kabili: Dede 1 Kimala...
  11. Boss la DP World

    Shairi: Kama hamtaki ndoa, Rudisheni Pesa Zangu

    Mlikubali wenyewe, bila mtutu kichwani, Mkaazimu nipewe, kwa udi na kwa ubani, Akasaini mwenyewe, kwa agizo la fulani, Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu. Aliyeleta mzozo, ni mtoto mtukutu, Akavujisha uozo, ukafika hadi Mbutu, Wakatilia mkazo, wananzengo wenye utu, Kama hamtaki ndoa...
  12. M

    Shairi: Usiwaze ya pekee, waza na ya wengineo

    1. Naanza ona mikasa, yawezaleta balaa, Viongozi wengi tasa, kwa hoja zisizo zaa, Hasa kwa Wana siasa, wao ni kama tabia, Wajifanya ni matasa, wafanyacho wakijua. 2. Ni kutafuta majanga, kuvunja mzinga nyuki hi, Mambo tunayoyalenga, mbele yataleta chuki, Badala sisi kujenga, wengi twatafuta...
  13. Urban Edmund

    Ombi la mtoto kwa baba yake mzazi (SHAIRI)

    watoto (wanafunzi) wanaendelea na story zao za hapa na pale huku wanasimuliana jinsi siku ilivyokuwa nzuri shuleni. watoto hao wanaagana na kila mmoja anaenda nyumbani kwake, Huyu mmoja anakaribia kwake na anamkuta baba ake akiwa ana furaha sana. baba anamuita mtoto wake na kumuambia jinsi...
  14. Mwl.RCT

    SoC03 Shairi | Utawala bora kwa manufaa ya nchi yetu

    UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA NCHI YETU Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Utawala bora ni msingi muhimu katika kukuza maendeleo ya nchi yoyote ile. Ni mchakato wa kuongoza na kusimamia rasilimali za umma kwa njia ya uwazi, uwajibikaji, uadilifu, usawa na haki. Utawala bora huwezesha kujenga imani...
  15. sanalii

    Shairi: Bibi kanyoa kipara

    Paukwa tena pakawa, mtaani taharuki Bibi kanyoa kipara, na nywele tena hasuki Chaajabu kina chawa, kichwani hawabanduki Bibi kanyoa kipara, mtaani taharuki Mtaani wauliza, hiki kipara chanini Mana wengi chawaliza, madukani na saluni Ma tena chaleta giza, biashara taabani Bibi kanyoa kipara...
  16. Anna Meleiya Mbise

    SoC02 Shairi la Mwarubaini wa Haki

    Mtunzi wa Shairi- Anna Meleiya Mbise (annambise2015@gmail.com) Jina la Shairi – Mwarubaini wa Haki Mwarubaini wa Haki 1. Amani tunda la haki, kukua lataka wote, Wenye viti nazo dhiki, pamoja tunda liote, Na lenyewe si kisiki, halipendi hali tete, Lashamiri lanawiri, penye uongozi makini...
  17. mtwa mkulu

    Shairi kwa miss Demi

    Kama mahaba mzigo, nitwike usinituwe, Lau ni pande la gogo, liache silipasuwe, Kama mahaba kipigo, niradhi kinisumbue, Nipe japo kidogo, mwenzio nijilimbuwe
  18. init

    Uchambuzi wa Shairi la Tausi kama ilivyo ghaniwa na Mbosso na Mrisho Mpoto

    Aawali ya yote ninapenda kuwashukuru kwa kubahatika kunusa uzi huu. Ifuatayo ni Tafakuri fupi ya uchambuzi Inayotokana na shairi la Tausi lililo ghaniwa na Mpoto akiwa na Mbosso. Tausi wewe Tausi wetu Karibu Tausi uipambe nyumba yetu Awali Mshairi ana mkaribisha Tausi, hivyo Tausi ni Mgeni...
  19. Logikos

    Mgeni Siku ya Kwanza (Ni wapi Chimbuko la hili Shairi la Kale)

    Mgeni siku ya kwanza mpe mchele na panza; mtilie kifuani, mkaribishe mgeni. Mgeni siku ya pili mpe ziwa na samli; mahaba yakizidia, mzidishie mgeni. Mgeni siku ya tatu jumbani hamuna kitu. mna zibaba zitatu, pika ule na mgeni. Mgeni siku ya nne mpe jembe akalime. akirudi muagane, aende kwao...
  20. Kraftwerk

    Usipite bila kusoma hili shairi

    FACT!
Back
Top Bottom