A shairi (Georgian: შაირი, pronounced [ʃairi]), also known as Rustavelian quatrain, is a monorhymed quatrain used by Shota Rustaveli in The Knight in the Panther's Skin.
It consists of four 16-syllable lines, with a caesura between syllables eight and nine. While there are stanzas with as many as five syllables rhyming, generally shairi uses either feminine or dactylic rhyme. It is worth noticing that despite the feminine and dactylic forms of rhyme, Georgian shairi’s stress is very weak due to the nature of the Georgian language, which is characterized by dynamic and very weak stress placed on antepenultimate syllable in words longer than two syllables and on penultimate in two-syllable words.
Kumekuwa na kukithiri kwa tatizo la ushoga ktk jamii yetu licha ya viongozi wa dini na serikali kufanya jitihada za kukemea matendo hayo,lakini kila uchwao ktk mitandao na ktk jamii vijana mashoga(sio ridhki )wamekuwa wakiongezeka tena kwa kujitangaza na kujivunia ushoga wao.
Nafikiri wakati...
KUPOTEZEA
1.Kupotezea ni neno, rahisi kulitamka
Lakini lina vinono, kulikoni kuwa taka
Linavunja mvutano, huziba palotoboka
Kama una jambo baya, potezea litapita
2. Kama una jambo baya, potezea litapita
Watakuona ni boya, badae hutajajuta
Potezea bila haya, mbele yako utapeta
Kama una jambo...
SWALI JUU YA MABADILIKO YA WAJAWAZITO
1. Leo nakuja na swali, msione la kitoto
Linahusika na mwili, wamama wajawazito
Ni swali gumu ukweli, linaleta tumbo Joto
Hivi nini kinajili, kipindi cha huu wito
2. Hivi nini kinajili, kipindi cha huu wito
Mabadiliko ya hali, awapo ndani mtoto
Usipokuwa...
SHAIRI
JANGA LA KUBETI
1. Kipo kilio cha wazi, kingine kimefichika
Mfano kuchunwa buzi, huwezi wazi kuweka
Kwetu kama fumanizi, kilio kimetufika
Kubeti nalo ni janga, limeteka watu wengi
2. Kubeti nalo ni janga, limeteka watu wengi
Watu waishiwa mwanga, kama walao milungi
Mwovu katupiga...
Ua langu limechumwa- bila mimi kujua..
Moyo wangu unauma- natamani kujiua..
Amekosa huruma- ua langu kunyakua..
Hivi nan kamtuma- leo hii naugua....
Ua lilinawairi- kila mtu alidata..
Haikua tena siri- ua lilitakata..
Uzuri wake wamwili- vigogo walimtaka.
Utamu wake samsuri- watu wakamteka...
Mapenzi ya leo pesa..usikubali kudanganywa,
Usipo kua na pesa..mapenzi yatakuchanganya,
Yaani bila hata kupepesa..mke utanyang'anywa.
Kama bado huna pesa, hebu anza kupambana,
Tena acha kujichosha, kutafuta vimwana,
Tafuta iyo pesa, uepuke kutukanwa,
Ukishafanikisha, utakula walo nona...
Ndugu zangu kuna Msukuma anakijua vizuri zaidi basi please:
Umo wing'we anambeleje kutafsiri Lugano lwenulu na mambo gose du.
Tusaidiane tafadhali wasukuma. Nitumie tafsiri yake kupitia 0734189022 tafadhali
The DEDE legend: Sukuma tradition
""Lugano lwa DEDE, lwa kabili:
Dede 1 Kimala...
Mlikubali wenyewe, bila mtutu kichwani,
Mkaazimu nipewe, kwa udi na kwa ubani,
Akasaini mwenyewe, kwa agizo la fulani,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.
Aliyeleta mzozo, ni mtoto mtukutu,
Akavujisha uozo, ukafika hadi Mbutu,
Wakatilia mkazo, wananzengo wenye utu,
Kama hamtaki ndoa...
1. Naanza ona mikasa, yawezaleta balaa,
Viongozi wengi tasa, kwa hoja zisizo zaa,
Hasa kwa Wana siasa, wao ni kama tabia,
Wajifanya ni matasa, wafanyacho wakijua.
2. Ni kutafuta majanga, kuvunja mzinga nyuki hi,
Mambo tunayoyalenga, mbele yataleta chuki,
Badala sisi kujenga, wengi twatafuta...
watoto (wanafunzi) wanaendelea na story zao za hapa na pale huku wanasimuliana jinsi siku ilivyokuwa nzuri shuleni.
watoto hao wanaagana na kila mmoja anaenda nyumbani kwake, Huyu mmoja anakaribia kwake na anamkuta baba ake akiwa ana furaha sana.
baba anamuita mtoto wake na kumuambia jinsi...
UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA NCHI YETU
Imeandikwa na: MwlRCT
UTANGULIZI
Utawala bora ni msingi muhimu katika kukuza maendeleo ya nchi yoyote ile. Ni mchakato wa kuongoza na kusimamia rasilimali za umma kwa njia ya uwazi, uwajibikaji, uadilifu, usawa na haki. Utawala bora huwezesha kujenga imani...
Paukwa tena pakawa, mtaani taharuki
Bibi kanyoa kipara, na nywele tena hasuki
Chaajabu kina chawa, kichwani hawabanduki
Bibi kanyoa kipara, mtaani taharuki
Mtaani wauliza, hiki kipara chanini
Mana wengi chawaliza, madukani na saluni
Ma tena chaleta giza, biashara taabani
Bibi kanyoa kipara...
Mtunzi wa Shairi- Anna Meleiya Mbise (annambise2015@gmail.com)
Jina la Shairi – Mwarubaini wa Haki
Mwarubaini wa Haki
1. Amani tunda la haki, kukua lataka wote,
Wenye viti nazo dhiki, pamoja tunda liote,
Na lenyewe si kisiki, halipendi hali tete,
Lashamiri lanawiri, penye uongozi makini...
Kama mahaba mzigo, nitwike usinituwe,
Lau ni pande la gogo, liache silipasuwe,
Kama mahaba kipigo, niradhi kinisumbue,
Nipe japo kidogo, mwenzio nijilimbuwe
Aawali ya yote ninapenda kuwashukuru kwa kubahatika kunusa uzi huu. Ifuatayo ni Tafakuri fupi ya uchambuzi Inayotokana na shairi la Tausi lililo ghaniwa na Mpoto akiwa na Mbosso.
Tausi wewe
Tausi wetu
Karibu Tausi uipambe nyumba yetu
Awali Mshairi ana mkaribisha Tausi, hivyo Tausi ni Mgeni...
Mgeni siku ya kwanza
mpe mchele na panza;
mtilie kifuani,
mkaribishe mgeni.
Mgeni siku ya pili
mpe ziwa na samli;
mahaba yakizidia,
mzidishie mgeni.
Mgeni siku ya tatu
jumbani hamuna kitu.
mna zibaba zitatu,
pika ule na mgeni.
Mgeni siku ya nne
mpe jembe akalime.
akirudi muagane,
aende kwao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.