Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Watu kama wewe ndiyo wanapendwa na kina Zitto na Lissu humu mitandaoni na kwenye makongamano yao huko mikoani. Mkuu inakuwaje unaweka akili zako kando, ulitaka ndege zisifanyiwe service au ulifikiri ndege hazifanyiwi service?
Akili yako ndogo sana kwa vile kuna Polepole anafikiri kwa ajili yenu nyote!! Service ya ndege mpya haina hata miezi sita 13 billion! Hiyo siyo service ni mategenezo. Jiuliza ilikuwa imeshakusanya hela hiyo fro that purpose?
 
Service/maintenance ya ndege ni industrially set (technically) scheduled, siyo kutengeneza ubovu kama akili yako (rudimental) inavyokutuma. Msiyoyajua msiwe mnadakia.
Muulize mama yako kama I am rudimental , atakueleza muziki wangu!
 
Tatizo you guys think you know kilakitu. Hivi kitu yeyote mechanical hata kama ni baiskel hamfaham kama ni lazima itengenezwe kila baada ya muda fulani hata kama haijaharibika? Gari ukinunua brand new pale Toyota ukalitumia wewe likafika kilometre 150000 mnafahamu kama ni lazima lirudi likafanyiwe major repair? Major repair kwa maana ya kwamba kuna vitu ambavyo ni lazima vibadilishwe hata kama havijaisha ili visije leta shida ib between. Ndege ya billion 78 imefanya kazi miaka miwili mizima kwa nini isile b7 matengenezo? Nini shida? Jamaa yangu miaka ya 90 mwanzoni alinunua mercedes benz lory brand new. Likadanya kazi likafikisha kilometre laki mbili kwa mwaka mmoja tu. Aliambiwa likiwa na u.ri huo alirudishe DT Dobie. Alipolirudisha wakalikarabati upya kwa specification vya mtengenezaji. Bill ikaja M18 wakati gari alinunua M 40. Alitaka kulikimbia ila alikomaa akalichukua. Ndege siyo vitz. Bombadier ikienda na kurudi mwanza haiji na chini ya M 30 plus. Piga hesabu imetembea mara ngapi kwa miaka miwili halafu uje na hizo argument zenu za kitoto kufanya kila kitu siasa. Mnajiaibisha sometimes

Sent using Jamii Forums mobile app

Tunapowaambia kuwa nyie hamjui mnalofanya au kusema huwa hatubahatishi. Soma hapa kwenye link (assuming unaelewa English) halafu uniambie hiyo scheduled maintanance ya USD 3M ilipo kwenye hizo costing.

Bombardier Dash 8-Q400 | Operating Costs

Unaweza kubadili aina ya ndege na unapata data kamili. Ongopeni jingine.
 
Kuna mdau humu kasema tuna ndege 11 tumempita Rwanda air wakati huyo rwanda air anahasara toka 2014 Hadi Sasa.

Tuje hapa kwetu bwana jiwe alidai kuwa shirika limepata faida ya shs bil 28 lakini toka lianze 2016 Kila mwaka hasara na hakusema hasara za nyuma zimesbalipwa?

Na je tusharudisha pesa ya manunuzi Hadi kupata faida na tushalipa operational cost zote?

Au ni faida ghafi kabla ya kikokotoo Cha mapato na matumizi.

Swali la msingi Kama hizo ndege 6 au 8 au 9 zimezalisha bil 28 na tunaenda kufanya service ya ndege mbili kwa bil 14 inaingia akilini?

Tukizifanyia zote hapo itakuwa ngapi?

Engenier somaaaaaa hiyooo
 
Hizo ndege zote 2 bado ni mpya na ni cheki ya kwanza, Haziwezi fikia gharama hiyo hata kidogo.. Each airplane Q400 na bado mpya, first major check C, ikizidi sana labda $ 1.4 to $ 1.5 mil.. Meaning kwa gharama ya juu labda zote zingefikia $ 3 mil around tshs 7 bil..

$ 6 mil is way too far expensive for 2 New Q400 first check.

Mh. Rais naamini kaliona hili he will make a quick follow-up, tunamuamini na najua hili ata deal nalo vema.. Hapa kuna upigaji mkubwa..!! Au wapeleke Ethiopian Airlines kwa matengenezo fast ndani ya wiki moja zote ndege 2 zitakuwa hapa, huenda wakalipa hata $ 1.5 mil kwa zote mbili.. Au Mh. Rais nichague mm nikasimamie maintenance yake nizipeleke Ethiopian Airlines utashangaa..!! One week na $ 1.5 mil inaweza tosha kabisa..!!
 
Kuna mdau humu kasema tuna ndege 11 tumempita Rwanda air wakati huyo rwanda air anahasara toka 2014 Hadi Sasa.

Tuje hapa kwetu bwana jiwe alidai kuwa shirika limepata faida ya shs bil 28 lakini toka lianze 2016 Kila mwaka hasara na hakusema hasara za nyuma zimesbalipwa?

Na je tusharudisha pesa ya manunuzi Hadi kupata faida na tushalipa operational cost zote?

Au ni faida ghafi kabla ya kikokotoo Cha mapato na matumizi.

Swali la msingi Kama hizo ndege 6 au 8 au 9 zimezalisha bil 28 na tunaenda kufanya service ya ndege mbili kwa bil 14 inaingia akilini?

Tukizifanyia zote hapo itakuwa ngapi?

Engenier somaaaaaa hiyooo
Swali fikirishi km limepata faida ya sh.bilioni 28 ina maana lina uwezo wa kujiendesha kuna haja gani kutamka hadharani km zinahitajika sh.bilioni 13.9 kwaajili ya matengenezo je hizo ndege zinazoenda kutengenezwa zimeingiza kiasi gani '' The question is based on cost benefit conscious''
 
Hizo ndege zote 2 bado ni mpya na ni cheki ya kwanza, Haziwezi fikia gharama hiyo hata kidogo.. Each airplane Q400 na bado mpya, first major check C, ikizidi sana labda $ 1.4 to $ 1.5 mil.. Meaning kwa gharama ya juu labda zote zingefikia $ 3 mil around tshs 7 bil..

$ 6 mil is way too too expensive for 2 New Q400 first check.

Mh. Rais naamini kaliona hili he will make a quick follow-up, tunamuamini na najua hili ata deal nalo vema.. Hapa kuna upigaji mkubwa..!! Au wapeleke Ethiopian Airlines kwa matengenezo fast ndani ya wiki moja zote ndege 2 zitakuwa hapa, huenda wakalipa hata $ 1.5 mil kwa zote mbili.. Au Mh. Rais nichague mm nikasimamie maintenance yake nizipeleke Ethiopian Airlines utashangaa..!! One week na $ 1.5 mil inaweza tosha kabisa..!!

Injini ya ndege moja iliharibiwa kwa ubishi wa ama jiwe mwenyewe na/au watendaji wake na kuifanya ndege moja i-park Mwanza almost one year. Naamini hata injini ya pili nayo ilikufa. Kwa kuwa mlinunua ndege na injini (wenzenu wenye akili wakiwa na ndege chache hukodi injini badala ya kuzinunua ili maintenance iwe juu ya mwenye injini) ndio chanzo cha HUO UONGO WENU ETI NDEGE ZINAPELEKWA KWENYE SCHEDULED MAINTANANCE!
 
Hata kama tusipotoboa wee Ndege zetu zinakuhusu nini? Ndege tununue sisi usingizi ukose wewe wapi na wapi? Unaacha kukosa usingizi na Mbowe ananyea debe miezi sasa unakuja kukosa usingizi na ndege zetu?
 
Hizo Bilioni Mh Rais azuie zikajenge Hospitali au Maabara za Afya alafu hiyo Bombardier ya zamani iuzwe tu huko kiwanda cha Bombardier ata kwa cheap price, sidhani kama itakuwa na tija kwa sasa kuikarabati.
 
Na je tusharudisha pesa ya manunuzi Hadi kupata faida na tushalipa operational cost zote?
.
hapa panatosha kuanzia..
bombadier iliyokamatwa tulidokezwa ilinunuliwa around bilioni 60 na mdeni alilipwa around bilioni 80 ambayo ni double ya bilioni 40 aliyokuwa anatudai kabla ya ukaidi wa mtakatifu wa kugoma kulipa..
hivyo bombadia ile ilitugharimu around 140 bilioni..
hapa hawakutangaza..
tunaambiwa kuna faida bilioni 28
kuna matengenezo yanayokuja ya bilioni 14..
umeme umekatwa nasubiri urudi niendelee..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndege zina services schedule zake kila baada ya miaka kadhaa (ni vitu ambavyo avikwepeki) ndio maana unawasikia wakipiga kelele kufufua hangar la Arusha kupunguza hizo gharama za kupeleka ndege Canada.
Ni kweli.
Marekebisho kidogo kuhusu Hangar ni ya KIA sio Arusha.
 
... ukarabati unaogharimu 13.8b/- kwa ndege mbili ndogo yaani wastani wa 6.9b/- kwa ndege moja yenye umri usiozidi miaka mitatu halafu ni ukarabati wa kawaida? Sina hakika kama zimesharudisha japo 15% ya gharama iliyotumika kuzinunua.
Msiba huu ndugu yangu ,watu wana macho lakini hawaoni

Jipe muda tu watakuja kuelewa kukiwa kushakucha tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom