Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Langu Niombe kujua haya
1-Imeharibika Nini?
2-Tangu Ndege hii Imeingia Tz Imeisha ingiza Fedha kiasi gani?
3-Ukarabati huu ni wa kiwango gani?
4-Je imehujumiwa kwa kunyofolewa vifaa labda na wasio litakia mafanikio Taifa?
4-Ukarabati wake utasimamiwa namna gani ili kusitengenezwe mizengwe na hujuma zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani wa kukujibu haya maswali yako muhimu.Usitegemee ujibiwe.Kila mtu anachunga ugali wake.
 
Juzi jiwe kasema ndege zimepata faida ya bilioni 28. Sasa ona tayari bilion 13.6 zinatoka kwa ajili ya maintenance ya bombadier mbili tu, what about costs za kila siku?, what about costs za kuikeep dreamliner?. Hii inaonyesha kuwa kuingia kwenye business bila plan ya kueleweka ni hasara tupu mbeleni
Data data hizo ulitegemea akwambie amepata hasara.Mpaka zilale hapo chini kwa tumbo ndo utajua ulipata faida au hasara.
 
SERIKALI imesema ndege mbili aina ya Bombardier Dash Q400 zilizonunuliwa mwaka 2016, zitapelekwa kufanyiwa ukarabati Canada mwezi ujao.
...soma vizuri sio kila kitu kuunga juhudi..
Ubalozi wa Canada umesema unaungana na ubalozi wa Marekani na Uingereza katika kutilia wasiwasi wa uzorotaji wa utoaji haki nchini Tanzania.
 
Back
Top Bottom