Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Juzi jiwe kasema ndege zimepata faida ya bilioni 28. Sasa ona tayari bilion 13.6 zinatoka kwa ajili ya maintenance ya bombadier mbili tu, what about costs za kila siku?, what about costs za kuikeep dreamliner?. Hii inaonyesha kuwa kuingia kwenye business bila plan ya kueleweka ni hasara tupu mbeleni
Tatizo you guys think you know kilakitu. Hivi kitu yeyote mechanical hata kama ni baiskel hamfaham kama ni lazima itengenezwe kila baada ya muda fulani hata kama haijaharibika? Gari ukinunua brand new pale Toyota ukalitumia wewe likafika kilometre 150000 mnafahamu kama ni lazima lirudi likafanyiwe major repair? Major repair kwa maana ya kwamba kuna vitu ambavyo ni lazima vibadilishwe hata kama havijaisha ili visije leta shida ib between. Ndege ya billion 78 imefanya kazi miaka miwili mizima kwa nini isile b7 matengenezo? Nini shida? Jamaa yangu miaka ya 90 mwanzoni alinunua mercedes benz lory brand new. Likadanya kazi likafikisha kilometre laki mbili kwa mwaka mmoja tu. Aliambiwa likiwa na u.ri huo alirudishe DT Dobie. Alipolirudisha wakalikarabati upya kwa specification vya mtengenezaji. Bill ikaja M18 wakati gari alinunua M 40. Alitaka kulikimbia ila alikomaa akalichukua. Ndege siyo vitz. Bombadier ikienda na kurudi mwanza haiji na chini ya M 30 plus. Piga hesabu imetembea mara ngapi kwa miaka miwili halafu uje na hizo argument zenu za kitoto kufanya kila kitu siasa. Mnajiaibisha sometimes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hIzi ndege zitapunguza kura nyingi sana kwa bwana mtukufu hapo 2020.
kwani kwa mpinzani wake akitoa ahadi ya kuziuza na Kujenga zahanati na shule lazima achukue point
Utaziuza wapi ndege za mtumba nani atazinunua?
 
Wakuu hizi ndege mi sidhani kama zinaenda karabatiwa.. Ila zinarudishwA na hazitorudi..

Yani ni kama vile tulioa mke kwa hela nyingi kufika ndani hajui kupika ugali...au hana K.

Hazitarudi.

Keep this comment. Mtaikumbuka.

JIWEEESEEE
 
Haya mambo asubiriwe CAG, akague ndio atuambie ni nini kinaendelea....wengine tuache viherehere.
 
Mh Kamwele asije wachanganya wananchi kwa kufikiria kuwa wakijenga karakana hapa watapunguza gharama za matengenezo. Matengenezo ya ndege ni ya kudumu na gharama zitaendelea kuwepo.

Kuwa na karakana hapa na matengenezo kufanyika hapa inasaidia siyo kupunguza gharama, bali pia kuongeza tija na kukuza teknolojia ikiwepo pia kuongeza ufanisi. Watoe sababu halisi wananchi waelewe wasije kufikiria sasa gharama za matengenezo zitakuwa chini sana.
 
Acha uongo,hiyo ni ile ndege ya pekee ambayo atcl walikuwa nayo kabla Serikali haijaanza kununua zingne.usiwe unaongea kitu bila kuchunguza

Sent using Jamii Forums mobile app
we zombi [emoji83] [emoji90] wa lumumba
muda mwingine ukienda msalani uwe umishikilia toiletipepa mkononi[emoji90] [emoji90]
"Bombadier mbili tulizozinunua tunatarajia kuzipeleka nchini Canada kwa ajili ya kufanyiwa 'service', na ndege moja itagharimu Dola za Marekani milioni tatu,” alisema Waziri Kamwelwe.
"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yale majini tuliyoyaleta kwa mbwembwe,eti ni tofauti na majini mengine, kwamba ni mema sasa yameanza kutafuta damu. Nawahakikishia yatatukamua hadi tutakapoamua kunyoosha mikono juu, tutakuwa tumebaki kama ile mifugo iliyokondeana kipindi cha kiangazi.

Subiri service ya dreamliner na hizi mbili (airbus)zilizokuja juzi. Akili lazima ikae sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Come on meeeeeeeen! Nataka nisikie hii [emoji16]

Sent from my Infinix X5514D using Tapatalk
 
Back
Top Bottom