Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Kukarabati ndege ni jambo la kawaida. Ila hapa ndipo tutapojifunza kuwa biashara ya ndege ni zaidi ya kununua tu ndege lukuki.

Na ndiyo maana mashirika mengi huwa hata ndege zao ni za kukodisha, eg south africa airways. Kazi ya kampuni ya ndege inatakiwa iwe ku-manage routes zenye faida na kuhakikisha ndege zinakuwa angani zikiwa zimejaa abiria kila wakati. Najua wengi hamtaelewa mpaka muone.
 

Mkuu Tiba sibishi bali maana yangu ni kwamba habari hii imechanganywa kwa makusudi ya mwandishi... kwanini iwe hivyo? je ni ili wauze gazeti au kuna jingine ktkt?
 
Someni kilichomo ndani msisome heading na kuanza kukosoa au kupongeza, don’t judge the book from its cover neither should you judge the content from its heading, you have to read the whole story and find the facts there in stipulated
Ila cover lazima liendane na kilichomo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Tiba sibishi bali maana yangu ni kwamba habari hii imechanganywa kwa makusudi ya mwandishi... kwanini iwe hivyo? je ni ili wauze gazeti au kuna jingine ktkt?
Alitoa taarifa hiyo waziri wa uchukuzi wakati anazindua kozi ya cabin crew pale NIT, ni reliable source, tuliza munkari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Langu Niombe kujua haya
1-Imeharibika Nini?
2-Tangu Ndege hii Imeingia Tz Imeisha ingiza Fedha kiasi gani?
3-Ukarabati huu ni wa kiwango gani?
4-Je imehujumiwa kwa kunyofolewa vifaa labda na wasio litakia mafanikio Taifa?
4-Ukarabati wake utasimamiwa namna gani ili kusitengenezwe mizengwe na hujuma zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom