General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,187
...labda zitavutwa kwa kamba....Kama zimeharika zitawezaje kwenda Kanada?
Una hamu ya kupimwa mkojo ? kitu used hakina garantiiKatika kuhangaikia maisha miaka ya 2000 nilinunua Toyota Corolla mbili used Bongo nikazifanya Taxi. aise zilinipa adhabu sana, zinasanyaa ila ikifika Jpili siku ya hesabu basi napokea hesabu yangu 8,000 kwa siku kila Tax so nakunja kama 96,000 kwa zote.
Sasa napomwita fundi kuzipiga service ili monday zianze tena kusanya aisee service inafikia laki na nusu kwa zote. Nikajijuta napata hasara yaani ka mshahara kangu ka ujanani kakawa kanaishia kutengeneza hizi Corolla. Nilipata shida mno hadi ikafikia nikaja kuziuza kwa mafungu, nikapumua.
Kitu used sitaki kusikia tena bora nitembee na TZ 11 nikiyopewa na Mungu.
Haya maisha ndiyo yapo ATCL hawatengenezi faida lakini wanatumia pesa nyingi kukarabati ndege ili wajanja wachache wapate cha juu, hata wewe ungechunguza vizuri hao madereva wako wa Tex walikuwa wakikuhujumu kisayansi kwa kula njama na gereji kisha wanapewa cha juu, hii Tabia ipo sana Tanzania hasa Tanganyika ni vigumu kupata maendeleo kupitia mfumo huu wa ufisadi.Katika kuhangaikia maisha miaka ya 2000 nilinunua Toyota Corolla mbili used Bongo nikazifanya Taxi. aise zilinipa adhabu sana, zinasanyaa ila ikifika Jpili siku ya hesabu basi napokea hesabu yangu 8,000 kwa siku kila Tax so nakunja kama 96,000 kwa zote.
Sasa napomwita fundi kuzipiga service ili monday zianze tena kusanya aisee service inafikia laki na nusu kwa zote. Nikajijuta napata hasara yaani ka mshahara kangu ka ujanani kakawa kanaishia kutengeneza hizi Corolla. Nilipata shida mno hadi ikafikia nikaja kuziuza kwa mafungu, nikapumua.
Kitu used sitaki kusikia tena bora nitembee na TZ 11 nikiyopewa na Mungu.
Baada ya mafanikio makubwa kwenye Uchumi wa Viwanda..
Sasa tupo kwenye Uchumi wa Ndege..
Ni kununua Ndege nyingi kadiri iwezekanavyo..
Ndege zinalipa sana.
Mchakato wa kishheria ni upi? Hivi nyie mnalipwa kuwa wajinga? Mchakato wa kisheria ndio huo wa kila fungu la matumizi ya pesa za umma kupewa kibali na Mkuu wa nchi na serikali. Ninyi wana-Ufipa mnataka mchakato gani?
Zikirudi kutoka Kanada jiwe atakwenda kuzipokea tena au?
Unajua kuna watu humu wanabisha hata uwanja wa ndege hawajawahi kufika either kutembea au kuwasindikiza ndugu zao acha kuzipanda. Mimi hapa nimeeleza si kwa kutetea ndege za Magufuli kwanza mimi na Magu ni kitu na ardhi na kuzimu kwa maana mimi ardhi Magu kuzimu. Ila nimeongea kitaalam ili watu wasidhani ndege ni sawa na unavyopeleka Kilimanjaro bus service garaji. Ndege ni kitu kingine na kinatawaliwa na watalaam waliosoma na wenye leseni za zinazotambuliwa kimataifa na siyo Mkumbi kafundishwa veta kajua kuendesha gari basi anakabidhiwa kuendesha. Ndege kuzihusisha na Magufuli ni ujinga. Magu mwenyewe pamoja na PhD (Pia handa Degree) hajui chochote kuhusu ndege. Ndege kuruka lazima iwe certified na engineer anayetambuliwa na CAA.sawa mkuu maelezo mazuri....
Wamesema ndege mbili sio moja, duniani hakuna service ya hivi kwa ndege inayosemekana imenunuliwa mpya kabisa.....watu wa aviation watakua wanatucheka sanaAcha uongo,hiyo ni ile ndege ya pekee ambayo atcl walikuwa nayo kabla Serikali haijaanza kununua zingne.usiwe unaongea kitu bila kuchunguza
Sent using Jamii Forums mobile app