Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Sh. Bilioni 13.9 kukarabati Bombardier nchini Canada

Acha uongo,hiyo ni ile ndege ya pekee ambayo atcl walikuwa nayo kabla Serikali haijaanza kununua zingne.usiwe unaongea kitu bila kuchunguza

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo huache uongo, ndege ile ya Boeing haiwezi kukarabatiwa na kampuni ya bombardier mkuu, ndege husika ni among zile bomberdier za mwanzo. hayo matango poli kawalishe uvccm pale Lumumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kawaida lakini kwa bavicha kurukia mada bila uelewa wa kina.
 
Maana yake kati ya ile faida ya bilioni 23
Bilioni 13 zarudi Canada........

Faida inapungua hadi 10

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo faida zilitoka wapi ikiwa kamati ya hesabu ya mashirika ya umma PAC walisema ndege zile hazijawahi kuingiza faida, huyo jiwe muongo mupngo sana usimuamini kila sana, yule muamini salamu zake tu

2020 John Walker out
 
Ni ile ndege mpya iliyonunuliwa hivi karibuni na kupokelewa kifalmeView attachment 993742
Bro cha ajabu hapa nini? Unadhani ndege ni Vitz? Hiyo ni service ya kawaida na wala hakuna cha ajabu. Kama unapanda basi kwenda Moshi unalipa sh 30 elfu mwingine anakwenda Moshi huko huko analipa laki 3 hujawahi kujiuliza why? Nipashe wameandika kwa maana nyingine ya kawaida tu, lakini wewe unataka kuonyesha kama ni kitu cha ajabu saana. Acheni umbeya kwa mbo msiyoyaelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ile ndege mpya iliyonunuliwa hivi karibuni na kupokelewa kifalmeView attachment 993742
"KUSIKIA KWA KENGE MPAKA ATOE DAMU MASIKIONI "SAFI SANA MATUMIZI MAZURI YA FEDHA ZA WALIPA KODI "TAX PAYERS" TUENDELEE KUNUNUA NDEGE,TUSIJENGE MADARASA,TUSIAJIRI KABISAIS,TUSINUNUE DAWA .

NAAM KWA MWENDO HUU TUNAONGEZA KIWANGO CHA KUKUBALIKA KWA WANANCHI.

NATAMANI MPAKA 2020 MBOBEZI ATAKAPOINGIA RASMI NYUMBA NYEUPE TUWE NA SCAPERS ZA KUTOSHA ZA NDEGE.

MUNGU ALIKUWA NA MAKUSUDI YAKE ILI WATANZANIA WAPATE KUJIFUNZA NAMNA YA KUAMUA.

2020 TWENDE NA MBOBEZI BM.
 
Kwa nini mnaaminisha umma mambo ya uongo?? Km huna jambo la kupost la maana si ukae kimya? Chombo chochote kufanyiwa ukarabati ni jambo la kawaida na wala siyo dhambi....kama mnadhani sisi tutarudi nyuma kwa maneno yenu ya kijinga mmekwama,MAGUFULI MBELE KWA MBELE hadi 2025 asiyetaka ruksa kuhama nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom