imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,035
Anavujisha siri za Serikali?!...lazima atekweHuyu jamaa kwa hii selfie lazma atajuta tu
Anavujisha siri za Serikali?!...lazima atekweHuyu jamaa kwa hii selfie lazma atajuta tu
Yawezekana hakuwa na nia hiyo lakini atakipata Cha motoAnavujisha siri za Serikali?!...lazima atekwe
Hasira za CAG zote atashushiwa huyu kiumbe.Yawezekana hakuwa na nia hiyo lakini atakipata Cha moto
Yawezekana hata hapa tunapoongea hayupo kaziniHasira za CAG zote atashushiwa huyu kiumbe.
😀😀😀 ndio bongo hio, nchi inayojinadi kuwa democratic ila unapoonesha kuwa wazi kwa ishu zinazogusa dola unaonekana mmbayaHuyu aliye jipiga selfie kwenye huu mtungi wa mbege... Nahisi atakuwa matatani.
Press conference soon na waandishi wa habari, kupinga hili
Naomba kujua wadau inasemekana kile kichwa cha treni ambacho kimeletwa nchini kwa majiribio kimepiga chini kama unavyoona kwenye picha hii siyo edet hii? View attachment 1092372
au hii picha siyo Tanzania?
Ni vizuri hata akalale gesti kwa maana usiku lazima watamuijia,ili waende kumlawiti.Yawezekana hata hapa tunapoongea hayupo kazini
Jamaa kapiga picha asubuhi sana kabla hakijaamka.Hicho kilikua kimelala tu kujipumzisha baada ya pilika nyingi za mchana kutwa.Naomba kujua wadau inasemekana kile kichwa cha treni ambacho kimeletwa nchini kwa majiribio kimepiga chini kama unavyoona kwenye picha hii siyo edet hii? View attachment 1092372
au hii picha siyo Tanzania?
Jamaa kapiga picha asubuhi sana kabla hakijaamka.Hicho kilikua kimelala tu kujipumzisha baada ya pilika nyingi za mchana kutwa.Naomba kujua wadau inasemekana kile kichwa cha treni ambacho kimeletwa nchini kwa majiribio kimepiga chini kama unavyoona kwenye picha hii siyo edet hii? View attachment 1092372
au hii picha siyo Tanzania?
Naomba kujua wadau inasemekana kile kichwa cha treni ambacho kimeletwa nchini kwa majiribio kimepiga chini kama unavyoona kwenye picha hii siyo edet hii? View attachment 1092372
au hii picha siyo Tanzania?
Mbona hapo hamna reli mpya ya SGR inayojengwa naiona ya zaman ya MGR?Naomba kujua wadau inasemekana kile kichwa cha treni ambacho kimeletwa nchini kwa majiribio kimepiga chini kama unavyoona kwenye picha hii siyo edet hii? View attachment 1092372
au hii picha siyo Tanzania?
Hicho kichwa cha treni ni mali ya kampuni inayojenga reli yetu ya SGR !... Yapi Merkezi hata rangi na nembo zake zinaonyesha hivyo!!... Hakuna mahali popote tumeambiwa kuwa ni kichwa cha treni za TRL!.. Kampuni ya Yapi Merkezi kuleta mitambo ikiwemo kichwa cha treni kufanya majaribio kwenye reli iliyokwisha jengwa ... haiwezi kuwa nongwa kiasi hicho.. Isitoshe kichwa cha treni cha aina hiyo ndiyo hasa vinavyotumika katika bara la ulaya. Kuanguka kwake Gongolamboto ni kiashiria tu cha uchakavu wa reli ya kati ambayo kwa uzito wa mzigo huenda ni chanzo cha ajali. Watanzania tuacheni hii tabia ya kukejeli na kukandia jitihada za ujenzi wa rasilimali zetu.
Au kitakuwa kimelazwa wanafanya ukarabati mwingine...!
Hapa kili kuwa kimepumzika kidogo. Hakuna tatzio hapo
Editing hii mkuu
Huyu aliye jipiga selfie kwenye huu mtungi wa mbege... Nahisi atakuwa matatani.
Press conference soon na waandishi wa habari, kupinga hili
Hahaha hatari sanaWakuu mbona hiyo wameedit kama ya gwajima
KilipoangukiaWapi huko?