Time is money and efficience matters! Kama System yetu itakuwa too fast na more efficient kwa nini isilipe?
Tatizo letu sisi tunafahamu na kuelezea mambo from our perspective na sio kutoka kwenye global perspective. Taarifa ya global warming sisi mara nyingi huwa hatujihushi nayo actively. Kwa waandishi wa habari kama nyie Mayala hamtaki kuwaambia wananchi ukweli wa mambo ulivyo. Sielewi mnafanya hivi kwa ajili ya kukosa Knowledge au basi ni maamuzi yenu tu?
Global warming kwa kutokana na air pollution ita tuathiri sisi haraka zaidi kuliko hata wenzetu ambao wanaishi kwenye polar regions. Diesel na fuel nyingine inaharibu manzingira yetu na kusababisha magonjwa ya saratan na pia Environment. Kwa hali hiyo wenzetu wazungu au Europens wamepitisha sheria ya ku-reduce idadi ya magari ya mizigo in the near future.
Mayala na waandishi wetu wa uswahilini mme base sana kwenye stories au informations kuhusu udaku udaku rather than scientific issues. Na mara nyingi habari zinazo husu makosa ya serikali yetu. Informations kama hizo zinuzika vizuri sana kuliko ukweli wa mambo halisi.
Tunajipumbaza sisi wenyewe kwa taarifa za aina hiyo moja mda wote. Lazima muwe mna alternate au ku-varry taarifa mnazozitoa kwa wananchi.
Nikupe mfano mmoja Mayala, unajua Uingereza ina brexit EU. Unajua kwa nini? Toka mimi niende Ulaya 1987 magazeti ya Uingereza hasa hasa SUN mda wote walikuwa lazima watoe comments mbaya kuhusu EU. Sasa Comments hizi zika pandikiza chuki katika ubongo wa waingereza hasa wale waliojiona kuwa wao ni Looser wa maendeleo ya uchumi.
Kilichotokea kwenye referandum ambayo Prime Minister
David Cameron – Wikipedia
wa Uingereza aliiitisha matokeo yake wengi walitumia hiyo nafasi kwa ku-vote YES for BREXIT. Wabunge kama
Boris Johnson – Wikipedia
na
Nigel Farage – Wikipedia
wao permanently walikuwa wana i-ctricize EU. Kila kitu kibaya kwao kilitoka EU. Badala ya kuwaeleza wananchi wao ukweli wa mambo wao hawakutaka kwa sababu walitaka kujinufaisha wenyewe. Sasa wanajionea wenyewe matokeo yake kwenye kuharibu system yao ya Europe.
Nakusihi Mayala na waandishi wa habari wenzako wa usawahilini, pamoja na critics zote mnazo zitoa kuhusu serikali yetu, muwe pia mnawaeleza wafuasi wenu kuwa kuna mazuri pia ambayo yanatendeka na serikali yetu. Msipende tu kuwa feed watu mambo mabaya tu ya serikali kama kijana mmoja mbunge ambaye yeye ni kusimulia ubaya tu wa Magufuli, kana kwamba yeye ni Rais ambaye ni Monster. Amesahau kuwa huyo Rais amechaguliwa na watanzania kwa misingi ya katiba yetu na ana haki ya kutawala nchi mpaka atakapo gombea tena na kushindwa au kumaliza mihula yake.
Sent using
Jamii Forums mobile app
Mkuu Maneno Meier, japo sijapenda unavyotuita waandishi was uswahilini, ila huu ndio ukweli wenyewe kuhusu sisi waandishi wa Bongo.
Nimependa objectivity yako kwenye bandiko hili kuhusu biased reporting ya kuangazia mabaya tuu hivyo kujenga a negative picture ya utawapa huu.
Kwenye waandishi wetu wengi, kiukweli knowledge ni changamoto.
Enzi zetu, sifa za kuwa mwandishi, ni kujua tuu kusoma na kuandika, amini usiamini mpaka leo hii ninapoandika hapa, kuna waandishi wakubwa tuu lakini ni darasa la 7.
Waliojiunga journalism ni wale form IV failures walioshindwa kwenda form V.
Kuna kundi la akina sisi tuliojounga media for the love of it. Tulifanya vizuri class na kujoin journalism, na kutokana na vipato duni vya media, watu walitushangaa!.
Watu kama Benjamin Mkapa, Prof. Palamagamba Kabudi, Dr. Harrison Mwakyembe, Dr. Sengodo Mvungi (RIP), Dr. Agery Mlimuka wote hawa ni journalist, ila walipopiga fani zinazolipa zaidi, waliuaga uandishi.
Wenzetu ulaya, uwezo na kipaji kinakuwa spotted early, waalimu na wazazi wanakujengea passion for it. Hao niliokutajia wengekuwa na passion, wengekuwa na columist hata once monthly kuandika chochote.
Media zetu hatuna specialization, hadi hapa ninapoandika, hatuna waandishi competent kuiripoti repoti ya CAG, angalau kwenye print wamejitahidi kidogo, wana feature writers na Daily News kuna mwandishi ame specialize na court reporting, lakini kwenye electronic media, hakuna kabisa, no features no documentaries, hivyo you are very right, kwa waandishi wetu wengi, kuwa knowledge ni changamoto.
Hili la ku concentrate on the negatives badala ya positives za Magufuli na awamu yake ya 5, tutofautishe kutimiza wajibu na kufanya makubwa. Maadam wewe kama baba unawajibu to provide for your family, unapoleta keki badala ya mkate au kumsomesha mwanao academy badala ya St. Kayumba huhitaji kupongezwa, huo ni wajibu wako. Kwenye hili tuliache kidogo naenda church, nikitoka nitakutembeza mitaa michache na kuomba objective opinion yako kama hapa.
Kiukweli humu JF ya sasa, watu objective kama wewe ni wakutafuta, hivyo mnapojitokeza, sisi tunaopenda objectivity ni lazima tuwabananishe kupata opinion zenu.
Thanks.
P