SGR wajenzi wa Ureno wamepotelea wapi?

SGR wajenzi wa Ureno wamepotelea wapi?

Nchi kama USA na China wana mtandao wa reli wa uhakika na unaofanya kazi kwa weledi lakini biashara ya malori ipo na inakuwa kila siku.
Watu wanachoshindwa kujua ni kwamba SIO KILA MZIGO UTASAFIRISHWA KWA TRENI.
 
siku hizi mnatafuta sababu yoyote ili mpinge tu.
Wewe umeambiwa ujenzi wa SGR unakamilika november habari za wajenzi zinakuhusu nini?
Jamaa wanajiamini, stesheni kuu hata msingi bado ila wanatuhskikishia November kitu kinatembea!
 
Mkuu Kalamu1, Asante kwa hii. hapa umesema jambo moja la maana sana kuhusu ujio wa SGR na hatma ya malori.

Kenya walipoanza, ili deni la SGR lilipike, Kenya waliyapakia kwenye SGR kwa lazima all containers bound to Nairobi, makosa yakawa mengi kujikuta kuna containers za Mombasa zinapelekwa Nairobi, na bado SGR haishibi.

Kwa Tanzania, SGR ni Central Corridor tuu, wakati the busiest route ni Southern Corridor, hivyo hata SGR ikianza, bado wenye malori watabeba mizigo ya Tunduma.

Na ili SGR ilipe, inahitaji mzigo wa kushiba haswa, hivyo ikianza ni lazima kulazimisha containers zote za Morogoro Rd, zipelekwe kwa SGR hadi Moro Dry Port na safari sasa zitaanzia Moro. Ikifika Dodoma, vivyo hivyo.

Maadam jirani zetu wametangulia, na SGR yao imeanza kuwa a white elephant, hakuna ubaya kujifunza kwa wenzetu, ili sisi yasitukute yaliyowakuta wenzetu hawa.


Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta... - JamiiForums

P.

Umesahau kwamba Watanzania huwa hatupendi kujifunza ndio maana kila mara tunashindwa!
 
Sio kweli. Kuna sehemu train inagharama hata mara 10 ya Bus. Mfano train kutoka London hadi Manchester inaweza kufika £100 wakati Bus inakuwa £10-15 hivi
Luxury train is it?
Ila treni yetu haiwezi kuwa expensive kuliko basi.
 
Lengo ni kurahisishia maisha wananchi sasa kama wewe unajifikiria pekee yako wakati kuna watu million 60 hauna akili

Sent using Jamii Forums mobile app
Dont attack me... umeona na kicheko mwisho.... was talking kwa waliokuwa selfish wakaua kwa ubinafsi... mimi maskini mkuu nina baiskeli tu... i was just joking
 
Wareno waliuacha mradi muda mrefu sana. Ila ipo chini ya mkeka. Kwa sasa wanaopiga mzigo ni waturuki peke yao. Inasemekana wareno hawakulipwa stahiki zao kama walivyokubaliana - wakafungasha kila kitu na kuondoka nchini.

Yapi Merkezi wanaweza kuwa wamepata guarantee kutoka kwa serikali yao (Uturuki) kwamba wasipolipwa na serikali yetu basi serikali yao itawalipa na kutudai sisi. Sidhani kama wareno walipata uhakika huo.
Uwazi zaidi unahitajika. Tusije kufika 2025 bila kuona hata behewa moja likitembea.
 
Nipe tofauti kati ya ureno na uturuki. Mbona kama umechanganya madesa.

Ureno=Portugal (uturuki).

Sent using Jamii Forums mobile app
Ureno = Portugal(Uturuki)!! 😀, kweli baadhi ya Watanzania, Geography imewapiga chenga

Mkuu Ureno na Uturuki(Turkey) ni nchi mbili tafauti, Ureno ni nchi ya Vasco Dagama, Uturuki ni nchi ya Othman the Great..
 
Luxury train is it?
Ila treni yetu haiwezi kuwa expensive kuliko basi.
Kwanini unauhakika huo? Modern transport is not cheap. Refer Mwendokasi, nauli ya 650/- bado haitoshi ndio maana mradi unaenda hovyo hovyo. Hio SGR mkileta siasa ili tuone nauli ni rahisi kuliko bus mtaharibu na tutashuhudia ya UDART
 
P
Mkuu Kalamu1, Asante kwa hii. hapa umesema jambo moja la maana sana kuhusu ujio wa SGR na hatma ya malori.

Kenya walipoanza, ili deni la SGR lilipike, Kenya waliyapakia kwenye SGR kwa lazima all containers bound to Nairobi, makosa yakawa mengi kujikuta kuna containers za Mombasa zinapelekwa Nairobi, na bado SGR haishibi.

Kwa Tanzania, SGR ni Central Corridor tuu, wakati the busiest route ni Southern Corridor, hivyo hata SGR ikianza, bado wenye malori watabeba mizigo ya Tunduma.

Na ili SGR ilipe, inahitaji mzigo wa kushiba haswa, hivyo ikianza ni lazima kulazimisha containers zote za Morogoro Rd, zipelekwe kwa SGR hadi Moro Dry Port na safari sasa zitaanzia Moro. Ikifika Dodoma, vivyo hivyo.

Maadam jirani zetu wametangulia, na SGR yao imeanza kuwa a white elephant, hakuna ubaya kujifunza kwa wenzetu, ili sisi yasitukute yaliyowakuta wenzetu hawa.


Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta... - JamiiForums

P.
Paskali hakuna mtu angependa kulipia gharama kubwa kwa bidhaa anazosafisha kutumia chombo chochote cha usafirishaji.
Tuseme tu haipendwi SGR,au Roli la mizigo au Ndege,tunachofuata au kupenda ni unafuu,kasi,usalama wa mizigo yetu.
Ikitokea break through ya usafiri wa anga au reli ulionafuu na kasi kuliko wa sasa,ni wazi SGR,Itapelekwa makumbusho LAKINI KWA SASA SGR TENA YA UMEME NDIO HABARI YA MJINI.
Mwezi November majibu ya Dar Moro yatabandikwa .
 
P
Mkuu Kalamu1, Asante kwa hii. hapa umesema jambo moja la maana sana kuhusu ujio wa SGR na hatma ya malori.

Kenya walipoanza, ili deni la SGR lilipike, Kenya waliyapakia kwenye SGR kwa lazima all containers bound to Nairobi, makosa yakawa mengi kujikuta kuna containers za Mombasa zinapelekwa Nairobi, na bado SGR haishibi.

Kwa Tanzania, SGR ni Central Corridor tuu, wakati the busiest route ni Southern Corridor, hivyo hata SGR ikianza, bado wenye malori watabeba mizigo ya Tunduma.

Na ili SGR ilipe, inahitaji mzigo wa kushiba haswa, hivyo ikianza ni lazima kulazimisha containers zote za Morogoro Rd, zipelekwe kwa SGR hadi Moro Dry Port na safari sasa zitaanzia Moro. Ikifika Dodoma, vivyo hivyo.

Maadam jirani zetu wametangulia, na SGR yao imeanza kuwa a white elephant, hakuna ubaya kujifunza kwa wenzetu, ili sisi yasitukute yaliyowakuta wenzetu hawa.


Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta... - JamiiForums

P.
Paskali hakuna mtu angependa kulipia gharama kubwa kwa bidhaa anazosafisha kutumia chombo chochote cha usafirishaji.
Tuseme tu haipendwi SGR,au Roli la mizigo au Ndege,tunachofuata au kupenda ni unafuu,kasi,usalama wa mizigo yetu,n.k.
Ikitokea break through ya usafiri wa anga au reli ulionafuu na kasi kuliko wa sasa,ni wazi SGR,Itapelekwa makumbusho LAKINI KWA SASA SGR TENA YA UMEME NDIO HABARI YA MJINI.
Mwezi November majibu ya Dar Moro yatabandikwa .
 
Na mpk siasa hakuna dalili kama abiria wa SGR watasafiri kwa nauli nafuu kuliko wale wa ABOOD! Tumeyaona kwa MWENDOKASI
Kuna TAZARA na bado mabasi yanajaa! Kuna mwendokasi Dar na dala dala zinajaa! SGR haiwezi ku satisfy demand itapunguza usumbufu kwa kiasi kikubwa. Na kuna wengi watakuwa hawawezi ku afford kupanda pia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom