SGR sehemu kubwa ikitokea mvua kwa ujenzi huu mtapokezana mawaziri kuongea kutetea

SGR sehemu kubwa ikitokea mvua kwa ujenzi huu mtapokezana mawaziri kuongea kutetea

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Kiufupi unajifunza kutokana na mazingira na kufananisha.

Huu mradi wamelipua sehemu nyingi sana njia za reli ni kama pesa imepigwa sana.

Mikoa korofi kama morogoro mvua zikinyesha lazima kufunga njia nyingi za usifiri.

Je wanajua shida nini.?.

Serikali inapeleka wasanii nchi za nje kwa kipi sasa.

Wakati ingepeleka vijana wake waliosoma kurudi na maarifa ambayo msaada.

Morogoro na mikoa ambayo mvua uleta maafa ilitakiwa kutengenezwa uzibiti wa njia za maji.

Kuanzia steji za mito na mitaro.

Nchi kama japan, tokyo imeweza ili na nchi ambazo ardhi zao zina maji mengi n.k.

Hata hii zimetushinda kulinda kingo
20260103_103754.jpg
images (17).jpeg
images (18).jpeg
 
Na SGR ya Mwanza imesitishwa huko....

Acha tuone watabe wa kununua vitu kujaza ndani wakisubiri wengine watoke wawapambanie watakua wapi 3 years down the line.

Umbwa kabisa, kama kuna mtu anajidanganya the future is bright bila overthrow ya CCM basi anatumia kinyesi kufikiri.

NA BADO, UZURI UWE MPENDA AMANI AU HAKI, FOR AS LONG AS HAUPO KWENYE HIGH TABLE YA KEKI YA TAIFA NA SIO WALAU $ MILLIONAIRE, KUUMANA NI SWALA LA MUDA TU. KILA MTU ATALIA KWA MUDA WAKE
 
Back
Top Bottom