Mama Samia hongera kwa kazi nzuri.
Kwa hayo niliyotaja hapo juu yalifanywa na Magufuli bila kutushirikisha private sector. Nakuomba ubinafsishe Kwa private sector ili Selikari ikusanye mapato na kulipana posho nzuri huku tukihakikisha wananchi wa vijijini wenye nyumba za ovyo wanalipia pango la nyumba nzuri sawa na watu waliojenga mahekalu mijini.
Ukifanya hivi tutakuenzi, hata vijana wa CHADEMA watakuunga mkono.
Kwa hayo niliyotaja hapo juu yalifanywa na Magufuli bila kutushirikisha private sector. Nakuomba ubinafsishe Kwa private sector ili Selikari ikusanye mapato na kulipana posho nzuri huku tukihakikisha wananchi wa vijijini wenye nyumba za ovyo wanalipia pango la nyumba nzuri sawa na watu waliojenga mahekalu mijini.
Ukifanya hivi tutakuenzi, hata vijana wa CHADEMA watakuunga mkono.