Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,113
Sasa unakasirika nini baba mchungaji?!Kusema una kitambi hadharani?!Owkey owwkeyyy ngoja niseme ukweli....mazoezi kwako ni kama sala umejijenga ukajengeka!Wenye wivu wajinyonge maana hatuna vitambi sie...!Nimekasirika sana hapa! Kwanza mazoezi hufanyi tena kila kitu umechoka....watch out!