Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,395
- 92,718
Swali la kizushi: mbona kina dada wengi jukwaa hili ni ni JF Premium Members? ili lina uhusiano wowote na mkuu Maxes Mello alivyohudhuria show ya mamiss?
My dearest!
Wewe mbona huna shida, kitambi chako kiko presentable kile cha nyuma (kijungu) na nguo zile ulizokuwa umevaa za kinigeria kitambi cha mbele labda kama ningekuwa na Telescope ndo ningekiona
Hahahahha wanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa eh?? hhahaha sawa bwana......kijungu ukisemacho ni kile cha 'Embu" kumbuka afu kifuani ah Muumba haku'nnyima wala kunfanyia choyo'..........nway ujumbe umefika......ny the way wale waumini walokuwa na kesi ya kunyimana unyumba siku ile uliwezasuluhisha???
Haya njoo tulale....HAkuhudhuria bali alishiriki kuandaa!¬
very true .......
kitu kizuri kuhusu exercise ni unakula unachotaka..
teh teh teh teh
wewe huhitaji hayo mazoezi, u are ok...
ukikosa wewe basi wote watakosateh teh teh
mazoezi muhimu dear ..
at list 30mnts a day dahhh
for my own benefit lol...
ntakosa mume nikijiachia sana teh teh teh lol
Huh???!Ngoja nionge mrembo wa nchi kavu na baharini!
ukikosa wewe basi wote watakosa
Wala usijifanye hapa na kauso kako ka huruma...wewe na mimi basi tena.
Mkuu unaimbisha mistari?
We mchungaji tabia gani hii ya kualika wapiga chabo???!Naahirisha safari ya kwenda kijijini!Ur coming eeehhhh ooohh aiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hold mchungaji tight uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Wala usijifanye hapa na kauso kako ka huruma...wewe na mimi basi tena.