Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Duhsex ingekuwa kwa kuzaliana tu watu wangekuwa wanatembea huku wanakata vuino barabarani, sipati picha, maana man..ge yangewajaa watu mpaka ......
hapo kwen bold ndo nn Shantel....:fish:
Duhsex ingekuwa kwa kuzaliana tu watu wangekuwa wanatembea huku wanakata vuino barabarani, sipati picha, maana man..ge yangewajaa watu mpaka ......
We kaizer usijifanye kipofu bwana....hapo kwen bold ndo nn Shantel....:fish:
We kaizer usijifanye kipofu bwana....
Kuuliza sio ujinga.....
hebu nisaidie na wewe...Shantel ur help on this will be appreciated.....hata kwa PM...:mod:
Lol... Nami siku zote najua ni kwa ajili ya kutafuta mtoto tu,...
Mhh mbu soulmate mpya atakukimbia ukimletea hiiLol... Nami siku zote najua ni kwa ajili ya kutafuta mtoto tu,...
Kwenye evolution theories tumesoma kuwa tendo la ndoa(mapenzi) ni kwa ajili hasa ya kuzaliana na kuongeza viumbe. Hii ipo kwenye mimea na hata wanyama. Tukichimba mbali zaidi tunaambiwa sex was a product of a historic accident or product from creator. Carl Zimmer: "Sex is not only unnecessary, but it ought to be a recipe for evolutionary disaster. For one thing, it is an inefficient way to reproduce.... And sex carries other costs as well.... By all rights, any group of animals that evolves sexual reproduction should be promptly outcompeted by nonsexual ones. And yet sex reigns... Why is sex a success, despite all its disadvantages ?"
Sex is-WAS not supposed to be fun thing to do ! Female orgasm is useless in evolution ila male orgasm ni muhimu ili waweze kupenyesha mbegu na kuchavusha yai la kike.
Sasa maswali yangu yanakuja...kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!
2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!
3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!
4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!
Mmmh kwaninj udhani ingekua hivyo?Sex ikishakuwa kwa ajili ya kuzaliana tu basi tabia zoote za wanyama pia zinachukua mkondo wake....kupandana hadharani, kupanda yeyote, kupanda wa mwenzioMaisha yangekuwa na mwanga bora zaidi..........maisha bila kingo
Unakosa mengi...........!Mhh mbu soulmate mpya atakukimbia ukimletea hiiHaswaaaaaaa!
Vyote anataka,,, sio awe kizalio tu
...eeehhh? anikimbie kwanini tena, kwani yeye hana haja ya mtoto?
mbona mwan'tisha sasa?...najifunza hapa jamani,...basi nahitaji tuition na mwalimu!
Gaga ndo unafanya nini kututoroka kwenye Anivesare yetu?Vyote anataka,,, sio awe kizalio tu
Vyote anataka,,, sio awe kizalio tu
Thats my boySex ikishakuwa kwa ajili ya kuzaliana tu basi tabia zoote za wanyama pia zinachukua mkondo wake....kupandana hadharani, kupanda yeyote, kupanda wa mwenzio
Maisha yangekuwa na mwanga bora zaidi..........maisha bila kingo
 sexy is overrated! I hate it Nina mwaka wa Tisa without doing. I can declare I'm a virgin