Sex...

Dr Lizzy

Platinum Member
May 25, 2009
30,808
59,358
Kwenye evolution theories tumesoma kuwa tendo la ndoa(mapenzi) ni kwa ajili hasa ya kuzaliana na kuongeza viumbe. Hii ipo kwenye mimea na hata wanyama. Tukichimba mbali zaidi tunaambiwa sex was a product of a historic accident or product from creator. Carl Zimmer: “Sex is not only unnecessary, but it ought to be a recipe for evolutionary disaster. For one thing, it is an inefficient way to reproduce.... And sex carries other costs as well.... By all rights, any group of animals that evolves sexual reproduction should be promptly outcompeted by nonsexual ones. And yet sex reigns... Why is sex a success, despite all its disadvantages ?“

Sex is-WAS not supposed to be fun thing to do ! Female orgasm is useless in evolution ila male orgasm ni muhimu ili waweze kupenyesha mbegu na kuchavusha yai la kike.

Sasa maswali yangu yanakuja...kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!
2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!
3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!
4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!
 
wifi umeamkaje? msalimie kaka,lol! muambie asilete za evolution, siku hizi tunaongelea ovulation:mimba::mimba:
 
Sasa maswali yangu yanakuja...kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!
2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!
3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!
4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!

Dhana inayotangulia ni matamanio, kuzaliana ni matokeo na dhana ya baadaye. Ni ngumu kutanguliza dhana ya kuzaliana kwasababu nature ya matamanio ndiyo inatawala. Kijana anaye balehe na binti aliyepuvuka wapo tayari kuruka kuta za umeme na kukoswa koswa na mishale si kwasababu wana dhana ya kuzaliana bali nguvu ya matamanio ndio tawala.

Bado watu wangehangaika kwasababu matamanio ni nature ya kwanza.

Hili la kuridhisha mimi nalichukulia kama sababu ya kuhalalisha tendo isivyohalali. Mwanamke anapokwenda nje na jamaa mmoja kwa mwaka mzima au miwili alikuwa na darubini gani kujua huko aendako kuna faraja! kizazi hiki cha sasa kinaifanya hoja ili itoe uzito wa 'uhalifu' na kupata sympathy.Haiwezekani mke kajifungua halafu mwanaume anatoka nje ya ndoa kwasababu mama ananyonesha, halafu tuseme ni sawa.
Kwanini suala la kuridhika liwe kwa wanawake na sio wanaume. Mume akilalamika kikapu ni kikubwa je inajenga uhalali wa yeye kuchomoka nje.

Kupungua kwa nguvu za kiume kuna sababu nyingi sana na sidhani ni matokeo ya kazi mfululizo tu.

Kama kuna kitu kinaushawishi wa ajabu sana ni sex na sijui ni kwanini. kama dhana ya kuzaliana ingekuwa na nguvu zaidi ya matamanio, basi wale vongozi wa kiroho ambao hawahitaji kuzaliana wasingeangukia katika mtego huo.
Kwa dunia ya leo tusingeona 'vurugu' tunazoziona bila woga achilia mbali mimba.
 
Lizzy ........Malezi
Kama tungelelewa ndani ya dhana hii basi tungekuwa hivyo ilivyotegemewa. Chukulia jamii ya kikurya ambao mojawapo ya sababu za kukeketa watoto wa kike ni kuwaondolea ashki! Isipokuwa kwa kuwa tume'amshwa' na theories nyingine kama ilivyokuwa theory ya evolution then people started to define sex in other way.......wanawake wakajulishwa haki zao katika tendo zima na hapo kuwaforce kuanza kuzidemand including kulalamika au kutafuta wa kumfikisha.

Hayo maswala ya kutoa mimba ni ukosefu wa maadili (kama tukifuata hiyo theory) wao wanachoangalia ni creation ya mtoto thats it.
KUhusu kutafuta nje kwa mwanaume ilionekana sawa kwa sababu the same theory inamdefine mwanaume kama head of reproduction- so if the reproduction is important and necessary to the society, hata akitoka kwenda nje hana kosa- he is just excersizing his 'uanaume' and he will be praised. Mengine yote ni ubatili mtupu

Lol aliyeivumbua theory hii must be mwanaume LOL
 
Kwenye evolution theories tumesoma kuwa tendo la ndoa(mapenzi) ni kwa ajili hasa ya kuzaliana na kuongeza viumbe. Hii ipo kwenye mimea na hata wanyama. Tukichimba mbali zaidi tunaambiwa sex was a product of a historic accident or product from creator. Carl Zimmer: “Sex is not only unnecessary, but it ought to be a recipe for evolutionary disaster. For one thing, it is an inefficient way to reproduce.... And sex carries other costs as well.... By all rights, any group of animals that evolves sexual reproduction should be promptly outcompeted by nonsexual ones. And yet sex reigns... Why is sex a success, despite all its disadvantages ?“Sex is-WAS not supposed to be fun thing to do ! Female orgasm is useless in evolution ila male orgasm ni muhimu ili waweze kupenyesha mbegu na kuchavusha yai la kike.Sasa maswali yangu yanakuja...kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!
Lizzy umenifanya nitulize akili yangu na kutafakali kwa kina sana!
 
Sasa maswali yangu yanakuja...kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!
2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!
3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!
4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!

Kifupi Lizzy, yote hayo yasingekuwepo kama dhana ingekuwa ni kuzaliana tu.
 
Ungependaje LIZZY utaratibu ungekuwa mwingine labda ujauzito upatikane kwa kusalimiana (kushikana mikono) ingenoga kweli? So far only human and dolphins are the only species that have sex for pleasure.

Ndio hapo ujue kuna Mungu,we angalia kuku mi hata sielewagi wanavyo do na kupeana mimba.
 
Ndio tofauti kati ya mnyama na binadamu!! Mbwa, au Ng'ombe kwa mfano hawafanyi hiyo kitu bila kuwa kwenye tarehe zitakazoruhusu Mimba kutungwa. Ndio mwisho wao wa kufikiri huo. Lakini kutokana na uwezo mkubwa alopewa binadamu wa kutawala mazingira na vyote vilivyomo ndio maana tumegundua kwamba haya Majitu tulowekewa yanaweza kutupa burudani ya pekee na ndivyo ilivyo. Au unabisha? Wewe hujagundua hilo? Kama hujapata wa kukuthibitishia hilo kwa matendo.... nitafute.
 
Ndio tofauti kati ya mnyama na binadamu!! Mbwa, au Ng'ombe kwa mfano hawafanyi hiyo kitu bila kuwa kwenye tarehe zitakazoruhusu Mimba kutungwa. Ndio mwisho wao wa kufikiri huo. Lakini kutokana na uwezo mkubwa alopewa binadamu wa kutawala mazingira na vyote vilivyomo ndio maana tumegundua kwamba haya Majitu tulowekewa yanaweza kutupa burudani ya pekee na ndivyo ilivyo. Au unabisha? Wewe hujagundua hilo? Kama hujapata wa kukuthibitishia hilo kwa matendo.... nitafute.

nakubaliana na hoja hii pia.....binadamu tumetofautishwa na wanyama kwa kupewa utashi (intellectual ability) na hii inajumuisha pia dhana ya kuchukulia tendo la ngono kama zaidi tu ya kitendo cha kusababisha uzao...ni mojawapo ya starehe alizotupa Muumba kwa wale wanaostahili,
 
Kwenye evolution theories tumesoma kuwa tendo la ndoa(mapenzi) ni kwa ajili hasa ya kuzaliana na kuongeza viumbe. Hii ipo kwenye mimea na hata wanyama. Tukichimba mbali zaidi tunaambiwa sex was a product of a historic accident or product from creator. Carl Zimmer: "Sex is not only unnecessary, but it ought to be a recipe for evolutionary disaster. For one thing, it is an inefficient way to reproduce.... And sex carries other costs as well.... By all rights, any group of animals that evolves sexual reproduction should be promptly outcompeted by nonsexual ones. And yet sex reigns... Why is sex a success, despite all its disadvantages ?"

Sex is-WAS not supposed to be fun thing to do ! Female orgasm is useless in evolution ila male orgasm ni muhimu ili waweze kupenyesha mbegu na kuchavusha yai la kike.

Sasa maswali yangu yanakuja...kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!
2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!
3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!
4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!

That is why I like JF...everybody is busy reading something! Mimi ninachojua kuhusu sex is simple...we can't live without it.
 
Kwenye evolution theories tumesoma kuwa tendo la ndoa(mapenzi) ni kwa ajili hasa ya kuzaliana na kuongeza viumbe. Hii ipo kwenye mimea na hata wanyama. Tukichimba mbali zaidi tunaambiwa sex was a product of a historic accident or product from creator. Carl Zimmer: "Sex is not only unnecessary, but it ought to be a recipe for evolutionary disaster. For one thing, it is an inefficient way to reproduce.... And sex carries other costs as well.... By all rights, any group of animals that evolves sexual reproduction should be promptly outcompeted by nonsexual ones. And yet sex reigns... Why is sex a success, despite all its disadvantages ?"

Sex is-WAS not supposed to be fun thing to do ! Female orgasm is useless in evolution ila male orgasm ni muhimu ili waweze kupenyesha mbegu na kuchavusha yai la kike.

Sasa maswali yangu yanakuja...kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!
2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!
3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!
4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!
interesting indeed,

mwaka 1988 wakati najifunza baioloji... nilisoma mengi yenye maswali, mwaka 1995 wakati nasoma physiology, pia niliona mengi yenye maswali

My comment ni - philosophers, scientists and great innovators have always been very creative "to reach God's capacity", which will never happen.

Sex and sexuality, orgasm, reproductivity etc roll as you want them to when it comes to thinking, its like rolling dices for those who like related games.

I wouldnt dwell much coz if we want to be rational, then we would ask zimmer about wet vagina, deep situated ovaries, menstrual cycle with blood, primitive situating of testicles outside the body (knkowing the delicacy and sensitivity), women breasts and role in sex, fellatio, cunnilingus, pregnancy etc

Once you swim in theorists and "innovators" you are bound to clash with lots of reality

The choice is yours

I love sex to the core, and no matter how primitive and "defunct" it is, i would not trade it with any pleasure in this world!!
 
nakubaliana na hoja hii pia.....binadamu tumetofautishwa na wanyama kwa kupewa utashi (intellectual ability) na hii inajumuisha pia dhana ya kuchukulia tendo la ngono kama zaidi tu ya kitendo cha kusababisha uzao...ni mojawapo ya starehe alizotupa Muumba kwa wale wanaostahili,
Pal.... sex is sex, as good as it gets, it leaves desire for more and questions without answers

Ukisoma sana historia ya wanasayansi wa kale, utagundua kwamba sexuality ya most reckoned scientist ilifanana sana na designers wa siku hizi... and back then homosexuality was a super crime (not even a sin) kwahiyo wengi walitumia lots of their innovation and imagination to disguise sexuality, and in some extreme cases to disguise creation and God in general
 
Back
Top Bottom