Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
- Thread starter
- #101
Mbona nimeshamaliza?!Ndo nakukumbusha rasmi kunipa majibu...Lizzy soma shule umalize halafu nijulishe umemaliza vizuri baada ya hapo nikumbushe juu ya hii mada yako ambayo ni nyeti sana halafu nitakuelekeza cha kufanya kama kweli wataka majibu ya maswali yako yaliyojaa hekima kibao................lol