Dini ipi?Haaa dini yao inaruhusu
Ndo kwanza nawasikia kwako! labda utueleze mambo yao wanafanyeje?
Najiuliza hawa wanawake wa Tunisia wanaoenda kugegedwa syria na waasi kwa kupokezana huwa wana akilu zao timamu au ndo washalishwa unga wa ndere?kuna ukweli wowote wa mafundisho ya dini yanayosapoti hili suala?
Umeitoa wapi hii habari?
Hata kwangu hii ni mara ya kwanza kuisikia.
Dunia ina vibweka hii.