Hii trick hata katika "madaftari maalum ya tricks za ku-twist mambo kuupiga vita uislamu" haimo. Ni mpya wametungiwa na kiongozi wao, mpenzi wao shaitan, aliyelaaniwa. Kwa kifupi wameshamaliza 'tricks' zote na sasa wanachanganyikiwa, wamefulia, hawaelewi wafanye nini, shaitan ameshawafanya mamluki.
Kila wakizidi kuupaka matope na kuupiga vita Uislamu, kwa mshangao wao na hasira zao kuongozeka, ndio kwanzaaaa wale wanaojaribu kuwandangaya wanazidi kuingia katika uislamu, na Uislamu unazidi kuenea kwa kasi ulimwenguni.
Hawajui la kufanya. Ni jambo dogo tu linalowaumiza.
Kwa mfano halisi ni kama huu: Wanatunga na kuwa-bombard watu na chuki dhidi ya Uislamu (ambao pengine hawauelewi na wala hawakuwa na habari na Uislamu kabla ya hapo). Hii ni katika ku-recruit maadui wengi zaidi dhidi ya Uislamu. Sasa wakati wameshawashwa moto wa hasira dhidi ya Uislmau, kwa mfano wa uongo kama huu, hawa watu hutafuta kwa uvumba na udi Qurani na Hadithi ili wasome na kutambua vizuri ni wapi zilipo hizo weaknesses za Uislamu ili wapata kuu-attack vizuri, intellectually. Kwa mfano ni kuanza kutafuta kwa kutumia keywords "sex Jihad in the Quran and hadith" nini mtu atapata????? La haula wala kuwwataa illaa billaah, wamefika katika kauli Mola Muumba, Allah -Azza wa Jalla na kwa Mtume wake Muhammad, Sallallaahu alayki wasallam. Wanashitushwa na maajabu na wanayaona na kuyafahamu humo (katika Qurani na Hadithi) tofauti na uwongo unaosingiziwa. Hatimaye wanaelekea misikitini na kusilimu (kuingia katika uislamu).
Na hawana wanalolipata wale wanaoongozwa na shetani isipokuwa kuongezwa 'rage' na kiongozi wao shaitan, na anawaletea 'trick nyengine" brand new, off the book, na hawana wanalochanganua isipokuwa ni kukumbatia tu trick mpya ambayo huzaa matokeo mabaya zaidi kuliko ya mwanzo.
"They plan and Allah plans, and Allah is the Best of planners, in the end it is Islam that will emerge victorious".
Habari ndio hii VUVUZELA, check it up for yourself.