Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
like other secret societies huwezi kujiunga FM kwa kuomba au kutaka. Unakaribishwa na mtu mwingine... ukiomba hivi hivi huruhusiwi.
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">msaidieni mwenzenu....labda ana maana yake......</span></font></font>
Hawa wanaojipeleka ndo wanaotumika kwenye makafara.<br /> <br /> Jamani Mungu wetu sio dicteta, ametupa kuchagua ni mungu yupi wa kumtumikia, kama mwenzetu mwenye akili timam amewaza na kuwazua akaona shetani ni bora kuliko Mungu basi mi naona tumsaidie tu kujua namna ya kumwabudu mungu aliye mchagua.
Mwenye mwongozo anisaidie....
like other secret societies huwezi kujiunga FM kwa kuomba au kutaka. Unakaribishwa na mtu mwingine... ukiomba hivi hivi huruhusiwi.
<br />Mwenye mwongozo anisaidie....
The Priest, freemasonry is the culture freemasons follow. Mzee Mwafrika, unaweza kutuambia kwa nini unataka kujiunga na dhehebu hilo? Unajua kwa hakika ni maadili gani freemasons hutetea? Nimeona documentary kuhusu freemasonry ambayo imenifundisha kwamba kujiunga na hili dhehebu si rahisi. Utahitaji subira na uvumilivu nyingi kwani ni mchakato mrefu. Utaulizwa maswali nyingi pia kwa freemasons kabla ya kupokewa kama new member kwani they'll want to make sure they can trust you. Ni lazima pia umepita umri wa 18. And that's pretty much all i know...Be careful with sects and the like though! It can be extremely dangerous if you don't know what your doing.
Mwenye mwongozo anisaidie....